Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kwani hamkupata connection? maana wapinzani wamechelewesha snMy President, hali ni mbaya sana. Inazidi kuwa mbaya kila kukicha. Mgao wa maji ulikuwa mara mbili kwa wiki na awamu zote zilikuwa zinatoa maji kama mkojo (forgive me kwa lugha hii baba yangu).
Kwa sasa ni mara moja kwa wiki on an unknown day, and time. By the way hata yakitoka, you need hours ili kupata 2 buckets.
Hali ni mbaya zaidi kwa akina mama. Hali ni mbaya sana kwa investors. This is a serious problem. Yawezekana watu wako wanakudanganya.
Please visit in person and act
Siyo kila nyumba ina gutterhalafu kweli.nashauri ukijenga nyumba dom weka mfumo wa gutter zielekeze kwenye kisima kikubwa au tank kusanya majivya mvua ambayo utatumia kwa raha kweli na kumwagilia na.kufulia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nkuhungu pia ni shida sanaBila shaka unaishi ilazo wewe.
Kuipaka matope serikaliWanawatumiaje,kuzuia maji au?.
Watasubiri mpaka Yesu Kristo arudi maana Mwanza kwa Wasukuma wapiga kura hakuna maji, Mara pembeni mwa ziwa wanalia maji, Geita inakojengwa bandari ya kimataifa maji shida tupu labda wakazi wa Dodoma wahamie Shinyanga au Tabora vinginevyo wafuate upepo, ukivuma toka Chato wahamie huko, upepo ukitoka Dar pamoja na wa Kigamboni mita chache toka Ikulu wanalia shida ya maji, unganeni nao. Madege hayawezi kugeuzwa matangi ya maji kama ya mafuta?Kuweni na Subra Maji yatatoka Lake Victoria hadi Dodoma bado tunawaomba ndugu zetu Misri wakubali sababu ni yao.
Wanakuza jambo, mbona pale Dom town maji safi tu....Vinginevyo labda ni wageni....au kuna mitaa itakuwa na matatizo...angesema maeneo tuyajue.aisee dom imekua hivyo.? miaka flan tupo owa mjomba area c 92 mbona maj yalikua matam tu
has the issue be serious like that?
Sent using Jamii Forums mobile app