Mpenzi alivyoliwa huku namsubiri

Sitoacha kuwaambia wanaume mtusome vizuri wanawake hamtufahamu kabisaaa jamani mwanamke haaminiki kirahisi namna hii chonde chonde" et ana misimamo" dooh.. haya kaka pole ila umeyataka mwenyew na hapo nikwambie tu hupendwi mwanamke angekua anakuoenda asingefanywa tena na kuja kukwambia wazi..pia zipo option nying za kumpotezea mtu mfano kumblok sio had umfuate
 
Umenifundisha kitu. Asante
 
Nimecheka sana eti katiwa[emoji23] na wewe ume fail sana mkuu.utamsindikizaje dem kwa x wake
Ungefanya hivi
1.mwambie am block
2.adownload app ya kuzuia kupigiwa na namba ngeni
 
Nimecheka sana eti katiwa[emoji23] na wewe ume fail sana mkuu.utamsindikizaje dem kwa x wake
Ungefanya hivi
1.mwambie am block
2.adownload app ya kuzuia kupigiwa na namba ngeni
Nimemuacha sijisikii kabisa kuwa nae bora nipe hiyo app nimbock yeye.
 
[emoji16][emoji16]sijui mliwaza nini hadi mkasindikizana.
Pole mkuu
Ila hakunaga anayefungiwa safari ili kukatazwa kuacha mawasiliano
 
Nimecheka kwa sauti
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kweli we kukumdogo, acha kukuwakubwa wale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…