Mpenzi alivyoliwa huku namsubiri

Hahahahahahahaaaaaa aisee, well done, siku nyingine usiende na mkeo "kumchamba" shoga yake, ila huyo aliyemegwa we achana naye maana kama kamegwa ukiwepo atamegwa sanaaaa usipokwepo
 
The level of stupidity in your head is baffling.
And I thought I was stupid.
Estupido!!
 
Hahahahahahahaaaaaa aisee, well done, siku nyingine usiende na mkeo "kumchamba" shoga yake, ila huyo aliyemegwa we achana naye maana kama kamegwa ukiwepo atamegwa sanaaaa usipokwepo
Nishamuacha
 
ni.kosa kuruhusu ukaribu wa maX kwa namna yoyote ile
 
Tucheke ndugu yangu maana dunia haijawahi kuisha vituko.

Na weza kuta alivyotaka kutoka na busu alipewa la kuondokea. Huku zoba kabaki kwenye gari anapigwa na jua. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umefanya hadi nimepaliwa na maji kwa kucheka Hajar

Hivo wala hamumuonei huruma na kumpa pole?πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Kwa story kama hizi na nyinginezo,piga nyota moja nne sita alama ya reli ok
 
Na wewe si ungeenda au kama haiwezekani ungemkataza huyo kipenzi chako asiingie.

Uwage unajiongeza bana.
Unatamani umtie masinki kabisaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Najiuliza hiyo sinema aliyochezewa hapo ilikuaje? Yaani watu wanazozana nje kwa sauti halafu wanaingia ndani sauti zinapotea

Wee mpenzi msikilizaji upo tu umebung'aa au ulikua unasubiri upate ushahidi kua kweli jamaa anamkula demu

Tena wasema ulienda na gari pengine wakati mchezo umekolea ukatambulishwa kua ni dereva wa baba au wa ofisini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…