Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,399
- 8,629
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa,,, et amle kutwa nzimaIla kama ni kweli inauma sana. Inabidi na yeye akamle kutwa nzima apunguze machungu kidogo
Chukulia poa mkuu,,, pole kwa yalyokusibuWe Acha tu. Nilipoteza faham
Hahahahahahahaaaaaa aisee, well done, siku nyingine usiende na mkeo "kumchamba" shoga yake, ila huyo aliyemegwa we achana naye maana kama kamegwa ukiwepo atamegwa sanaaaa usipokwepoHii siku sitaisahau. Yani mpenzi wangu alikuwa anasumbuliwa sana na x wake eti warudiane. Hii ilimkasirisha sana mpenzi wangu na aliniomba aende akampe makavu x wake. Kwakweli nilimpenda na kumuamini sana huyu msichana kwa misimamo yake. Sasa ikabidi msichana amwambie anamfata na akaniomba nimpeleke. Kweli nilimsindikiza na kufika kwa Jamaa msichana alimuwakia sana. Kwamba hamtaki na amuache hivyo aendelee na maisha yake. Kwakweli ugamvi ulikuwa mkubwa mara wakaingia ndani. Walikaa mda kidogo mimi namsubiri kwenye gari. Baada ya kutoka anakuja huku analia nikamuuliza vipi umepigwa? Akaniambia hapana ila Jamaa kanitia sijui imekuaje paka kanitia tena. Kwakweli nimeumia na haya maumivu ni makuu. Hata sijui nifanyaje.
kama mimi nisivyojua kwanini nakuwa king'ang'anizi kwakoMwenyewe sijui
kama mimi nisivyojua kwanini nakuwa king'ang'anizi kwako
Safi sana ila next time usifuatane na mkeoNishamuacha
Waionaje hii Hajar imetulia kweli?Mmh.
😀😀😀Hahaaa. Mie naona wala asiumie sababu kayataka mwenyewe.
Anakubalije watu waliokuwa wapenzi wakapeane makavu chumbani si vituko hivyo.
Umefanya hadi nimepaliwa na maji kwa kucheka HajarTucheke ndugu yangu maana dunia haijawahi kuisha vituko.
Na weza kuta alivyotaka kutoka na busu alipewa la kuondokea. Huku zoba kabaki kwenye gari anapigwa na jua. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hivi kweli wew.....aaah ngoja ni reserve comment yangu aiseeWalikua nje ndio wakati wanatifuana wakaingia hadi ndani.
Unatamani umtie masinki kabisa😀😀😀Na wewe si ungeenda au kama haiwezekani ungemkataza huyo kipenzi chako asiingie.
Uwage unajiongeza bana.