Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndani kufanyaje je kwasasa unaishi nae??!!!!!!Walikua nje ndio wakati wanatifuana wakaingia hadi ndani.
itamuuma lakini huu ndiyo ukweliKwani huyu binti anakuchukuliaje mpaka akwambie kwamba ametiwa?halaf kama hii stori ni ya kweli huyo anampenda sana jamaa na hajiwez kwake na atakuwa anarudi kwa jamaa kila jamaa atakapomuhitaji
[emoji23][emoji23][emoji23] acha kunijaza uko na ubibi gagula huu na urembo wapi na wapiHaha imetoka moyoni uvunguni kabisa. Saivi sikatai salam warembo hasa wewe
Yaani kama ni kweli na sio chai Dada basi huyu jamaa huko mbeleni atapata tabu sana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hivi unapata nguvu gani ya kumsindikiza mpenzi wako kwa ex wake eti akampe makavu makavu yapi kuna wanaume wapole sijui kama mleta mada yaani hata sijui nimuweke kundi gani
eti best yangu kumbe hii ni chai?Shenzi zako hata mtoto wa awali hawezi kukubali uongo wako kwendraa
Mwongo huyu unaamini chai hii?Kwani huyu binti anakuchukuliaje mpaka akwambie kwamba ametiwa?halaf kama hii stori ni ya kweli huyo anampenda sana jamaa na hajiwez kwake na atakuwa anarudi kwa jamaa kila jamaa atakapomuhitaji
Chai hii hakuna ukweli wowote akawadanganye watoto wenzieeti best yangu kumbe hii ni chai?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Asisahau tu kutuletea thread sisi tupo yajayo yanafurahisha sanaYaani kama ni kweli na sio chai Dada basi huyu jamaa huko mbeleni atapata tabu sana.
Maana usije shangaa siku nyingine wakaja peana makavu geto kwake. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wadanganye hao sio mimi. Mimi najua wewe ni kisu over[emoji23][emoji23][emoji23] acha kunijaza uko na ubibi gagula huu na urembo wapi na wapi
Kitendo cha mtu kufunga safari kwenda kumchamba kidume aliyetangulia kuuona uchi wa mkeo, moja kwa moja mtu wa namna hiyo sifa ya uanaume inamtokaNa wewe si ungeenda au kama haiwezekani ungemkataza huyo kipenzi chako asiingie.
Uwage unajiongeza bana.
Kabisaaaaa. Maana tutazidi ongeza umri kwa kucheka ka hivi. [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Asisahau tu kutuletea thread sisi tupo yajayo yanafurahisha sana
Na kweli walimalizana vizuri [emoji23] [emoji23]Aliniomba wakamalizane usumbufu uishe
Aliniomba wakamalizane usumbufu uishe