Sokoro waito
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 2,201
- 2,599
atakuwa amekuudhi sana huyu mleta post kwa kuwa mlaini kiasi hicho.Sio akili ni matope hayoo.
Amejidharaulisha na ndio sababu wakamdharau. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
atakuwa amekuudhi sana huyu mleta post kwa kuwa mlaini kiasi hicho.Sio akili ni matope hayoo.
Amejidharaulisha na ndio sababu wakamdharau. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wasiojulikana wamepita na mtu
Ewaaaaaa. Hayo ndio maneno sababu hasira zao walishazimaliza.teh teh nimecheka sana,
kama ni kweli basi umeshafeli kwa huyo binti, muache tu taratibu aendelee na jamaa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sitaki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Halafu anakusalimia sana eti msalimie sana mshipa wangu nimemmisss sana
Uchoyo sio mzuri utakosa vingi vizuriHuo uchoyo ndio siwezi kuacha kabisa
teh teh kwaniniHuo uchoyo ndio siwezi kuacha kabisa
Kupenda gani huko kusiko na chembe ya wivu?Unajua kupenda wewe!?
Sijui nicheke sijui ni puuze ama ...anyway kwa hiyo ndo ikawa ivo cyoHii siku sitaisahau. Yani mpenzi wangu alikuwa anasumbuliwa sana na x wake eti warudiane. Hii ilimkasirisha sana mpenzi wangu na aliniomba aende akampe makavu x wake. Kwakweli nilimpenda na kumuamini sana huyu msichana kwa misimamo yake. Sasa ikabidi msichana amwambie anamfata na akaniomba nimpeleke. Kweli nilimsindikiza na kufika kwa Jamaa msichana alimuwakia sana. Kwamba hamtaki na amuache hivyo aendelee na maisha yake. Kwakweli ugamvi ulikuwa mkubwa mara wakaingia ndani. Walikaa mda kidogo mimi namsubiri kwenye gari. Baada ya kutoka anakuja huku analia nikamuuliza vipi umepigwa? Akaniambia hapana ila Jamaa kanitia sijui imekuaje paka kanitia tena. Kwakweli nimeumia na haya maumivu ni makuu. Hata sijui nifanyaje.
Hafai huyo wako na sio wote.Unaniongezea machungu. Nyie wanawake hamfai
Kitendo cha kunambia tu bby nataka nikampe ukweli ex wangu anapokea ngumi ya kichwa kwanza then namsikiliza akirudia upuuzi anakula kabali takatifu ......hawezi kunambia ushubwada mimiteh teh ila mimi siwezi kubali bebi wangu anieleze stori za kijinga za ex wake
Umeonaeee. Bora angebaki nyumbani kisha amwambie huyo mdada aende akamalizane na jamaa ako kisha arudi.atakuwa amekuudhi sana huyu mleta post kwa kuwa mlaini kiasi hicho.
Usingempeleka huko ungemuacha aende mwenyewe angalau hata angenaniliu ingeweza kuwa siri yake.Mimi tatizo likowapi. Kaniomba we ungetaka nifanyaje.