Kwahio we unasubiri kuambiwa usiyopenda kuyasikia toka kwa mwanaume? Ni kichaa pekee atakaeweza kukwambia huo ukweli mchungu...inshort utasubiri sana kuambiwa hana nia na wewe huku ukipata maumivu ya kukaangwa na kuchemshwa moyo wako!Mi siwezi kurupuka kufanya maamuzi.sababu nna nia ya kweli.
Sasa nkimbana aseme anadai bado ana nia
Mi aniambie tu kama hana nia.nasepa
Hapana shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kumbe hata mchezo hujampa, unataka awe na shughuli na wewe ya kama nani? Paroko au baba wa kiroho?
ππππππ redemption songUkimwambia ukweli anakasirika anadai wewe ni mlalamishi sana bana kwani muda wote nipo na simu...
Mimi niliachwa kisa ni hicho.
Hahhahah iwe ni dashiSasa kumbe hata mchezo hujampa, unataka awe na shughuli na wewe ya kama nani? Paroko au baba wa kiroho?
Sawa..siku anionyeshe kazi zake..
Zikinridhisha ndo ntapingana na mawazo yangu.
Maana kwa huu ubize hata kuonana nami hana mda..ona mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Cha ajabu usumbufu huwa unau feel kwa mtu usiempenda tu! Kwa mtu unaempenda unatamani hata kila saa mkae pamoja!sio wanaume tu ....hata wanawake hatupend mausumbufu kwakweli..!
Unaniongelea mmπCha ajabu usumbufu huwa unau feel kwa mtu usiempenda tu! Kwa mtu unaempenda unatamani hata kila saa mkae pamoja!
πππππHahhahah iwe ni dashi
hahaha yule jamaa hanaga kazi yupo jf 24hHuwaoni ma alwatani kina zero iq
kote hakufai
Hahah hako katabia kapo kwa kila mtu yani. Its natural!Unaniongelea mmπ
Hutaki umbeyaNdo maana kwenye whatsapp settings, kipengele cha Last seen naweka No body can view.
Hahah af mkija humu mnajikaza kikomando wengine mkidai ni wake za watu πππ jf raha sana!Ahsante sana aggyjay uzi wako umenisaidia sana kiukweli nimepata majibu nilikuwa nataka, nipo in the same situation,
Mie pia hatujawahi hata onana ila hivi recently mabadiliko ni ubize uliokubuhu.!! Niliwahi ondoka lakini akagoma anasema ni majukumu nisiondoke.! Na akanilaumu sana why nakuwa sina uvumilivu while mwenzie hapo nimevumilia to the last drop.. Nilivyo mpuuzi nikarudi tena ila sahivi things have become more worse.!
Hapa I texted him since satano nimemuambia tu awe mkweli mbona nitaenda bila tatizo maana nishajiandaa kisaikolojia kuwa that love has already faded away.!!
Hajajibu mpaka sasa.!! Haha' nacheka kama mazuri.!!
Woooiii' tujiondokee zetu hebu.!! We're better than that.!!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] bibie inaonekana n Mgumu kuagaHahahahahaha we msenge chizi kwenye hio line ya mwisho [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kwanza jamaa inaezekana kaoa kabisa an[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] unajua sikuwahi experience ile hali ya kuwa mtu ulimingle nae kama rebound ukaja gundua humpendi halafu yeye kashakolea kwako! I almost feel like shiyt wheneveri see her texts or missed dials!
Kusema tuachane siwezi yani tafrani...ni dodging to kwa kisingizio cha ubize!
Mawazo yangu yanawaza muhusika ni wew, comments zako inaonesha umefurahi kweli πππππππππ
Aisee kama kuna kaukweli