Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
- Thread starter
-
- #281
Mamy sepa mapema tuu kabla hujapoteza muda zaidi ...kama mtu anakupenda kwa dhati kabisa hawezi kosa walau dakika kumi za kuongea na wewe kwa siku...ina maana hata yeye hakumiss??
Perhaps, kashakufahamu kwa kupitia baadhi ya watu na kupewa wrong Info's abt you hapo anatafuta njia ya kukupiga chini for good. Anaways ni mawazo yangu kulingana na hii reply yako. Pole na kila la kheri na jamaa aliye busy anampita hata yule anayelala na mafaili yeye anapata hata muda wa kuangalia Mpira hahaaa
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Mi mwenyewe nahisi hivo.Pole mama hakuna mapenzi hapo kiufupi yupo anayemtafuta kila mda
Pole kwa unayoyapitia (Kama ni wewe kweli)
Kuna manzi mmoja alikuwa na gubu hatari, yaan kila akiingia whatsapp anaangalia last seen zangu,, halafu ananikaripia kuwa nmeingia whatsapp muda mfupi ulio pita na sijamtext.. Nkaona niifungeHutaki umbeya
Wanawake wengi wenu mnalo tatizo kubwa moja huwa hamuwezi kusimamia maamuzi mliyoamua. Ukiamua kumove on tekeleza kwa vitendo sio kujaribisha. Unaamua unampotezea mtu kama hivo anakutesa weee ikifika wakati wa kuachana nae unampotezea kweli kweli.
Wanawake wengi wenu mnalo tatizo kubwa moja huwa hamuwezi kusimamia maamuzi mliyoamua. Ukiamua kumove on tekeleza kwa vitendo sio kujaribisha. Unaamua unampotezea mtu kama hivo anakutesa weee ikifika wakati wa kuachana nae unampotezea kweli kweli.
Katika huo mda mfupi, je ameshaenda Eden? Namaanisha, amekula "tundadamu"?
Jibu ni Moja tu hapo.Anakuaandaa kisaikolojia next stop kibuti.no one is busy just a matter of prioritizeHivi unaweza kudate na mpenzi aliye bize wiki nzima?
Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku, hata umtext hajibu. Utapiga na kuacha missed calls hata kumi simu haipokelewi. Hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!
Unajiuliza hali? Hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?
Hata muda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana, ni Jumatatu mpaka Jumapili, asubuhi hadi usiku, usiku hadi asubuhi.
Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani, wewe ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?
Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.
Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba ila akaweka simu pembeni bado yale yale yanaendelea.
Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi utaweza kujenga familia?
Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii?
sio wanaume tu ....hata wanawake hatupend mausumbufu kwakweli..!
Kuna manzi mmoja alikuwa na gubu hatari, yaan kila akiingia whatsapp anaangalia last seen zangu,, halafu ananikaripia kuwa nmeingia whatsapp muda mfupi ulio pita na sijamtext.. Nkaona niifunge
Hahahah huyo mbulula kweli!Kuna manzi mmoja alikuwa na gubu hatari, yaan kila akiingia whatsapp anaangalia last seen zangu,, halafu ananikaripia kuwa nmeingia whatsapp muda mfupi ulio pita na sijamtext.. Nkaona niifunge
Kama hamjaoana huwezi amka na kuanza kazi bila kumjulia hali kipenzi ,
Umenifurahisha sana maana una akili za mgando sikutegemea. Yani mtu anakutesa hivyo bado unasubiri akuage