Mpenzi aliye "busy" siku zote

Mpenzi aliye "busy" siku zote

Ananishangaza kwa kweli..huu ubusy una jambo kama hataki kufunguka basi nami naondoka
Perhaps, kashakufahamu kwa kupitia baadhi ya watu na kupewa wrong Info's abt you hapo anatafuta njia ya kukupiga chini for good. Anaways ni mawazo yangu kulingana na hii reply yako. Pole na kila la kheri na jamaa aliye busy anampita hata yule anayelala na mafaili yeye anapata hata muda wa kuangalia Mpira hahaaa

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina jinsi..ntaondoka

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wengi wenu mnalo tatizo kubwa moja huwa hamuwezi kusimamia maamuzi mliyoamua. Ukiamua kumove on tekeleza kwa vitendo sio kujaribisha. Unaamua unampotezea mtu kama hivo anakutesa weee ikifika wakati wa kuachana nae unampotezea kweli kweli.

Hakuna kitu raha duniani kama kuwa na amani ya moyo na nafsi
 
Sina jinsi..ntaondoka

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wengi wenu mnalo tatizo kubwa moja huwa hamuwezi kusimamia maamuzi mliyoamua. Ukiamua kumove on tekeleza kwa vitendo sio kujaribisha. Unaamua unampotezea mtu kama hivo anakutesa weee ikifika wakati wa kuachana nae unampotezea kweli kweli.

Hakuna kitu raha duniani kama kuwa na amani ya moyo na nafsi
 
Hivi unaweza kudate na mpenzi aliye bize wiki nzima?

Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku, hata umtext hajibu. Utapiga na kuacha missed calls hata kumi simu haipokelewi. Hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!

Unajiuliza hali? Hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?

Hata muda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana, ni Jumatatu mpaka Jumapili, asubuhi hadi usiku, usiku hadi asubuhi.

Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani, wewe ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?

Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.

Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba ila akaweka simu pembeni bado yale yale yanaendelea.

Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi utaweza kujenga familia?

Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii?
Jibu ni Moja tu hapo.Anakuaandaa kisaikolojia next stop kibuti.no one is busy just a matter of prioritize

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashindwa kuelewa, mwanaume unakuwaje busy wakati hujaenda Eden? Yaani kweli jamaa hajala tunda halafu anakuwa busy kiasi hicho?

Au hujamvutia? Yaani first glance na hakutamani hata kuishusha ile ya ndani kweli? Hakika huyo kijana ni mwema sana!!
 
Back
Top Bottom