Ndo maana last seen yangu kwa watsapp inaonesha nliingia watsapp Mara ya mwisho January 5 ,2019. Install fm watsapp wear msela kuepusha migogoro na watotoJamani..mda wote ukiangalia last seen inaonyesha SAA hiyo hiyo lakini anadai hashiki simu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Usintishe..narudia usintishe..ntapatwa na nin?Aaahh sawa endeleen naukamando
Mimi sina ilo la ukomandoo!! Huwez ishiwa namna iyo alafu umekaa tuuu ohooo nakupenda nakupenda chaaaaa labda km jamaa kashikilia moyo
POLE DADA
HUYO MWANAUME HAJAKUPENDA KESHAKUBWAGA
ANGALIA USTAARABU MWINGINE TU
AU SIO HONEY? 50thebe
hahaha sanaa nkajiona am the cππhoosen
Haya ubazazi mwema.Unajua machungu yoyote huwa yanaambatana na funzo!
Kiukweli mkweo sasa nimeshakuwa conco acid, nayatazama mapenzi katika dimension tofauti sana na ilivyokuwa awali, inshort nimefuzu Afcon ya mapenzi!
umesema ulimpata humu jf ila mautamu hamjapeana, je mshawahi kuonana ana kwa ana?
Tayari mkuu..nshamfutaWanawake wenye moyo kama wako wamebaki wachache ,Piga chini huyo jamaa utashidwa kutimiza yale ya msingi wapo wanaume kibao utapata wa viwango vyako .
Ndo maana last seen yangu kwa watsapp inaonesha nliingia watsapp Mara ya mwisho January 5 ,2019. Install fm watsapp wear msela kuepusha migogoro na watoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hili nalo linahitaji fedha za kigeni kutambua kuwa huyo uliyenaye hakupendi?
Bwana ako nae kaanzisha uzi hukoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimembwaga..sijasubiri chochote.hivi unapata faida gani kumpotezea mtu muda wake?Jaribu kujifanya bize kama yeye, jisahaulishe tu jifanye haupo kabisa then angalia reaction yake!
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko wapi..sijauonaBwana ako nae kaanzisha uzi hukoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee pole sana...Thanks.... im just Happy with my life
Muda utafika , Mtu sahihi atakuja ,anaedeserve upendo Tena Zaidi ya ule,I always pray for this
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kubaki mwenyewe sio kweli! Utajinunisha ila akija mwengine unaunga nae tela!
Dah had huruma aseeHahahah usiombe kukutwa na bwana pepsi, hapo ndipo utapoona umuhimu wa ile ngoma ya Diamond na Shetta!
πππ namchangamsha tu mkuu, usichukulie hivyo bana au wewe mgeni humu!Aisee kwani una umri gani?
Mbona unamtesa huyu Dada?
Hata kama amekuudhi, siyo sawa kuja humu kumuattack. This is boyish!
Kwani ni Extrovert !Aisee kwani una umri gani?
Mbona unamtesa huyu Dada?
Hata kama amekuudhi, siyo sawa kuja humu kumuattack. This is boyish!
πππ namchangamsha tu mkuu, usichukulie hivyo bana au wewe mgeni humu!