Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
- Thread starter
-
- #21
hakupendi wala hajali hisia zako kaa kmy na wew uone km atakutafta usiwe mtumwa wa mapenzi
nawajua wenye mapenzi ya ivo wanajiskiaga sn alf wanajikuta sijui nani yanii na akijua una mpenda ATAKUSUMBUA SANA kaa kmy ata wiki ni ngum sana mwanzoni ila utazoea.Jamani..mda wote ukiangalia last seen inaonyesha SAA hiyo hiyo lakini anadai hashiki simu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu..ila hivi viumbe vya mikia ya mbele vimenichosha.nawajua wenye mapenzi ya ivo wanajiskiaga sn alf wanajikuta sijui nani yanii na akijua una mpenda ATAKUSUMBUA SANA kaa kmy ata wiki ni ngum sana mwanzoni ila utazoea.
Duuuhh kazi sana, na utu uzima wako mkuu..hujui tu jamaa HAKUPENDI????
Badilisha Avatar, huenda akabadilika[emoji41]Hivi unaweza kudate na mpenzi alie bize wiki nzima?
Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku..hata umtext hajibu,utapiga missed calls hata kumi simu haipokelewi..hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!
Unajiuliza hali?hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?
Hata mda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana..ni jumatatu mpaka jumapili..asubuhi hadi usiku..usiku hadi asubuhi.
Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani...we ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?
Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.
Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba..ila akaweka simu pembeni bado Yale Yale yanaendelea.
Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi..utaweza kujenga familia?
Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii??
Sent using Jamii Forums mobile app
Aahhh yaan unachoamin anakupenda ?? Sema tu ni ubize ??
Kwa kweli....Pole sasa, hata mi imenikuta kuna manzi tunapendana sms kila siku, baada ya muda akawa sms hajibu, unampigia hapokei na tena hakutafuti Utasikia ni bussy mara wazazi had sasa napiga ananikatia simu makusudi
Lakn nikaja kugundua tiyar anamshikaji mwingine penzi lake amelielekeza huko , Ikabidi nitulie tu!!! Japo roho inauma
So na ww ni uhakika %100. HAKUPENDI
Sent using Jamii Forums mobile app
Best huyo anaona aibu kukwambia live tuachane so anatengeneza mazingira jiongeze.Yani huyu ni kama vile hajali na hayachukulii mahusiano kwa uzito
Sent using Jamii Forums mobile app
Yawezekana unamsumbua sumbua sana nayeye sio mtu wa kupenda kuwasiliana kila muda(sio kila mtu anapenda kugandana gandana)
Au yawezekana pia jamaa hakupendi anatafuta namna ya kukuacha na kachagua a civil way(unaachwa kimya kimya dear)
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeamuaje mpenzi wangu labda nikwambie kitu hamna kitu inakuaga mgumu kumtamkia mtu direct kuwa humpend ila huwa zinatumika ishara fulan ili angalau agundue aage mashindano shda huwa inakuja pale mtu hyo anapogoma kuaga mashindano jamn inaleta shda yan acha tu kwa nn hutak kuaga mashindano ya AFICONHivi unaweza kudate na mpenzi alie bize wiki nzima?
Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku..hata umtext hajibu,utapiga missed calls hata kumi simu haipokelewi..hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!
Unajiuliza hali?hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?
Hata mda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana..ni jumatatu mpaka jumapili..asubuhi hadi usiku..usiku hadi asubuhi.
Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani...we ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?
Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.
Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba..ila akaweka simu pembeni bado Yale Yale yanaendelea.
Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi..utaweza kujenga familia?
Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii??
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasubiri jibu lake nihitimishe.Best huyo anaona aibu kukwambia live tuachane so anatengeneza mazingira jiongeze.
missed call moja inatosha kwan ana figo yako?Hivi unaweza kudate na mpenzi alie bize wiki nzima?
Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku..hata umtext hajibu,utapiga missed calls hata kumi simu haipokelewi..hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!
Unajiuliza hali?hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?
Hata mda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana..ni jumatatu mpaka jumapili..asubuhi hadi usiku..usiku hadi asubuhi.
Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani...we ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?
Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.
Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba..ila akaweka simu pembeni bado Yale Yale yanaendelea.
Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi..utaweza kujenga familia?
Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii??
Sent using Jamii Forums mobile app