Mpenzi aliye "busy" siku zote

Mpenzi aliye "busy" siku zote

nawajua wenye mapenzi ya ivo wanajiskiaga sn alf wanajikuta sijui nani yanii na akijua una mpenda ATAKUSUMBUA SANA kaa kmy ata wiki ni ngum sana mwanzoni ila utazoea.
Sawa mkuu..ila hivi viumbe vya mikia ya mbele vimenichosha.
Ntabaki tu peke angu npambane na hali yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unaweza kudate na mpenzi alie bize wiki nzima?
Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku..hata umtext hajibu,utapiga missed calls hata kumi simu haipokelewi..hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!
Unajiuliza hali?hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?
Hata mda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana..ni jumatatu mpaka jumapili..asubuhi hadi usiku..usiku hadi asubuhi.
Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani...we ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?
Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.
Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba..ila akaweka simu pembeni bado Yale Yale yanaendelea.

Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi..utaweza kujenga familia?

Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii??

Sent using Jamii Forums mobile app
Badilisha Avatar, huenda akabadilika[emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sasa, hata mi imenikuta kuna manzi tunapendana sms kila siku, baada ya muda akawa sms hajibu, unampigia hapokei na tena hakutafuti Utasikia ni bussy mara wazazi had sasa napiga ananikatia simu makusudi

Lakn nikaja kugundua tiyar anamshikaji mwingine penzi lake amelielekeza huko , Ikabidi nitulie tu!!! Japo roho inauma


So na ww ni uhakika %100. HAKUPENDI



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibu hapo ni moja tu...HAKUPENDI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sasa, hata mi imenikuta kuna manzi tunapendana sms kila siku, baada ya muda akawa sms hajibu, unampigia hapokei na tena hakutafuti Utasikia ni bussy mara wazazi had sasa napiga ananikatia simu makusudi

Lakn nikaja kugundua tiyar anamshikaji mwingine penzi lake amelielekeza huko , Ikabidi nitulie tu!!! Japo roho inauma


So na ww ni uhakika %100. HAKUPENDI



Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana ..sasa sijajua hapo mojawapo ni lipi
Yawezekana unamsumbua sumbua sana nayeye sio mtu wa kupenda kuwasiliana kila muda(sio kila mtu anapenda kugandana gandana)
Au yawezekana pia jamaa hakupendi anatafuta namna ya kukuacha na kachagua a civil way(unaachwa kimya kimya dear)

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unaweza kudate na mpenzi alie bize wiki nzima?
Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku..hata umtext hajibu,utapiga missed calls hata kumi simu haipokelewi..hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!
Unajiuliza hali?hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?
Hata mda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana..ni jumatatu mpaka jumapili..asubuhi hadi usiku..usiku hadi asubuhi.
Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani...we ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?
Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.
Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba..ila akaweka simu pembeni bado Yale Yale yanaendelea.

Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi..utaweza kujenga familia?

Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii??

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeamuaje mpenzi wangu labda nikwambie kitu hamna kitu inakuaga mgumu kumtamkia mtu direct kuwa humpend ila huwa zinatumika ishara fulan ili angalau agundue aage mashindano shda huwa inakuja pale mtu hyo anapogoma kuaga mashindano jamn inaleta shda yan acha tu kwa nn hutak kuaga mashindano ya AFICON

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unaweza kudate na mpenzi alie bize wiki nzima?
Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku..hata umtext hajibu,utapiga missed calls hata kumi simu haipokelewi..hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!
Unajiuliza hali?hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?
Hata mda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana..ni jumatatu mpaka jumapili..asubuhi hadi usiku..usiku hadi asubuhi.
Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani...we ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?
Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.
Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba..ila akaweka simu pembeni bado Yale Yale yanaendelea.

Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi..utaweza kujenga familia?

Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii??

Sent using Jamii Forums mobile app
missed call moja inatosha kwan ana figo yako?
 
Back
Top Bottom