Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
- Thread starter
-
- #41
Sio utuuzima Mapenzi hayana komando, love ni nusu uchiziDuuuhh kazi sana, na utu uzima wako mkuu..hujui tu jamaa HAKUPENDI????
Hata mimi nikishamchoka mpenzi wangu huwa najikuta sina muda naye kabisa....na anavyolalamika ndivyo naona ananichefua...kwa hiyo umeshachokwaHivi unaweza kudate na mpenzi alie bize wiki nzima?
Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku..hata umtext hajibu,utapiga missed calls hata kumi simu haipokelewi..hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!
Unajiuliza hali?hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?
Hata mda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana..ni jumatatu mpaka jumapili..asubuhi hadi usiku..usiku hadi asubuhi.
Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani...we ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?
Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.
Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba..ila akaweka simu pembeni bado Yale Yale yanaendelea.
Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi..utaweza kujenga familia?
Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii??
Sent using Jamii Forums mobile app
Wala huna gundu mdogo wangu. Mtu wa hivyo ni kumuacha Kama alivyo utaumiza moyo wako bure.
Aahhh sawa , mimi kwa mawazo yangu. Nakutokana na ulichokiandika.
Aisee kuweni na huruma basi, ogopa sana chozi la mwanamke linalo toka kwa ajili yako,laana nyingine huwa mnajitafutia wallah.Hata mimi nikishamchoka mpenzi wangu huwa najikuta sina muda naye kabisa....na anavyolalamika ndivyo naona ananichefua...kwa hiyo umeshachokwa
Aaahh sawa endeleen naukamandoSio utuuzima Mapenzi hayana komando, love ni nusu uchizi
Umeamuaje mpenzi wangu labda nikwambie kitu hamna kitu inakuaga mgumu kumtamkia mtu direct kuwa humpend ila huwa zinatumika ishara fulan ili angalau agundue aage mashindano shda huwa inakuja pale mtu hyo anapogoma kuaga mashindano jamn inaleta shda yan acha tu kwa nn hutak kuaga mashindano ya AFICON
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mimi siwezi uvumilivu bizze kwa siku 7Aaahh sawa endeleen naukamando
Mimi sina ilo la ukomandoo!! Huwez ishiwa namna iyo alafu umekaa tuuu ohooo nakupenda nakupenda chaaaaa labda km jamaa kashikilia moyo
Pengine mna shea hapo, ubize gani huo wa 24/24.7/7. Na wewe tafuta atakayekuliwaza kila siku, hapo itakuwa ngoma droo.
Sawa mkuu. Nko njia pandaAahhh sawa , mimi kwa mawazo yangu. Nakutokana na ulichokiandika.
Nikwamba, wee unampenda .najamaa hakupendi .
Au unataaka kila mara mchat na kuongea?? Ikiwa sio. ..haingii akilin umtafte kwa meseji au simu alafu asikujib nabad hata akipata muda asikutext kukujulisha.
Ila yote kwa yote moyo ni wako
Hajawahi kunibandua..ndo mana nabaki na maswaliMapenzi kabla ya kubanduana huwa mtu anakutumia msgs kama anakudai figo, ila akishakubandua zaid ya tatu text ya asubuhi anaweza kukujibu jioni tena baada ya bia kuanza kumchukua
Sawa.Wala huna gundu mdogo wangu. Mtu wa hivyo ni kumuacha Kama alivyo utaumiza moyo wako bure.
Hata mimi nikishamchoka mpenzi wangu huwa najikuta sina muda naye kabisa....na anavyolalamika ndivyo naona ananichefua...kwa hiyo umeshachokwa
Mara nyingi mtu anajua kuwa hapendwi sema anaukwepa ukweli.Duuuhh kazi sana, na utu uzima wako mkuu..hujui tu jamaa HAKUPENDI????