Mpenzi aliye "busy" siku zote

Mpenzi aliye "busy" siku zote

Hivi unaweza kudate na mpenzi alie bize wiki nzima?
Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku..hata umtext hajibu,utapiga missed calls hata kumi simu haipokelewi..hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!
Unajiuliza hali?hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?
Hata mda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana..ni jumatatu mpaka jumapili..asubuhi hadi usiku..usiku hadi asubuhi.
Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani...we ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?
Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.
Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba..ila akaweka simu pembeni bado Yale Yale yanaendelea.

Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi..utaweza kujenga familia?

Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii??

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi nikishamchoka mpenzi wangu huwa najikuta sina muda naye kabisa....na anavyolalamika ndivyo naona ananichefua...kwa hiyo umeshachokwa
 
Aahhh sawa , mimi kwa mawazo yangu. Nakutokana na ulichokiandika.


Nikwamba, wee unampenda .najamaa hakupendi .

Au unataaka kila mara mchat na kuongea?? Ikiwa sio. ..haingii akilin umtafte kwa meseji au simu alafu asikujib nabad hata akipata muda asikutext kukujulisha.


Ila yote kwa yote moyo ni wako
 
Mi siwezi kurupuka kufanya maamuzi.sababu nna nia ya kweli.
Sasa nkimbana aseme anadai bado ana nia
Mi aniambie tu kama hana nia.nasepa
Hapana shida
Umeamuaje mpenzi wangu labda nikwambie kitu hamna kitu inakuaga mgumu kumtamkia mtu direct kuwa humpend ila huwa zinatumika ishara fulan ili angalau agundue aage mashindano shda huwa inakuja pale mtu hyo anapogoma kuaga mashindano jamn inaleta shda yan acha tu kwa nn hutak kuaga mashindano ya AFICON

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aahhh sawa , mimi kwa mawazo yangu. Nakutokana na ulichokiandika.


Nikwamba, wee unampenda .najamaa hakupendi .

Au unataaka kila mara mchat na kuongea?? Ikiwa sio. ..haingii akilin umtafte kwa meseji au simu alafu asikujib nabad hata akipata muda asikutext kukujulisha.


Ila yote kwa yote moyo ni wako
Sawa mkuu. Nko njia panda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuuhh kazi sana, na utu uzima wako mkuu..hujui tu jamaa HAKUPENDI????
Mara nyingi mtu anajua kuwa hapendwi sema anaukwepa ukweli.
Nadhani aggyjay unaujua ukweli kuwa hakujali/hakupendi na nafikiri baada ya kusoma mawazo ya wengi hapa(na sio yale uliyojiandaa kuyasikia ya kukufariji...) utachukua hatua stahiki.

Anza urafiki kabla ya mapenzi.Wasiliana na mtu vya kutosha kabla ya kuanzisha mahusiano.
 
Back
Top Bottom