Mpenzi aliye "busy" siku zote

Mpenzi aliye "busy" siku zote

Mhh..haya ngoja nijaribu
Pole kwa kuwa na mwenza aliye bize muda wote, waingereza wanasema 'Busy Bee'. ushauri wangu ni kuwa kuwa namna nzuri ya ku' deal' naye ni kumuomba mtoke naye safari nje kabisa mbali na eneo analofanyia kazi/shughuli (aina ya likizo au 'Honeney moon'). Safari hiyo yaweza kuwa mbugani au mikoa ya mbali na mnapoishi/fanyia kazi zenu. Nakutakia utekelezaji mwema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amenishangaza..yani mnapoanza mahusiano nimezoea mnakua na hamu ya juu kumjua mwenzio..lakini yeye yuko relaxed..yani kama vile kashamamliza kila kitu
Hata mda wa kuonana hana

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe utakua unampiga mizinga ndo maana anakupotezea. Tena itakua kashasepa huyo jiongeze. Kwa ushauri kama una malengo na mtu jaribu kumuonyesha wewe sio tegemezi mwanzoni mwa mahusiano yenu. Punguza vizinga dada upate bwana tofauti na hapo utajikuta umri umeenda na huna direction yoyote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1 missed call is enough don't call as if i have your kidneys plz [emoji41][emoji41][emoji41]
IMG_20190326_141108.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swala sio kuchat mda wote..swala ni kutenga mda kwa ajili yangu.kuwa bize jtatu mpaka ijumaa sawa.basi tenga japo jmos na jpili kwajili yangu..hatabkama wikiendi utakua bize basi huwazi japo niweke SAA moja au mbili kumjulia hali mwenzangu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Una subiri mpaka uambiwe sikutaki " Jiongeze basi mkuu "--- Hakunaga mapenzi ya kweli ya Style hiyo hasa kwa watu wanaojitambua .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi omba hata miabtano yake..hata vocha hajawahi nitumia.
Sijawahi muomba hela
Wewe utakua unampiga mizinga ndo maana anakupotezea. Tena itakua kashasepa huyo jiongeze. Kwa ushauri kama una malengo na mtu jaribu kumuonyesha wewe sio tegemezi mwanzoni mwa mahusiano yenu. Punguza vizinga dada upate bwana tofauti na hapo utajikuta umri umeenda na huna direction yoyote.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom