Mpenzi aliye "busy" siku zote

Mpenzi aliye "busy" siku zote

Ahsante sana aggyjay uzi wako umenisaidia sana kiukweli nimepata majibu nilikuwa nataka, nipo in the same situation,
Mie pia hatujawahi hata onana ila hivi recently mabadiliko ni ubize uliokubuhu.!! Niliwahi ondoka lakini akagoma anasema ni majukumu nisiondoke.! Na akanilaumu sana why nakuwa sina uvumilivu while mwenzie hapo nimevumilia to the last drop.. Nilivyo mpuuzi nikarudi tena ila sahivi things have become more worse.!
Hapa I texted him since satano nimemuambia tu awe mkweli mbona nitaenda bila tatizo maana nishajiandaa kisaikolojia kuwa that love has already faded away.!!
Hajajibu mpaka sasa.!! Haha' nacheka kama mazuri.!!
Woooiii' tujiondokee zetu hebu.!! We're better than that.!!
kwani hamuwezi kuondoka mpaka muambiwe? Kwa taarifa yenu mtasubiri saana.. Ila tutaendelea kuwa skip ili baadae tuwatumie kama backup.. Saivi sina huruma na nyie viumbe
 
Dawa ya hao watu ni kuwachunia na wenyew me kuna kaka nae ananiletea mashauzi.ya kujitia yuko busy kuliko shetani nkasema hunijui weweee....wakati kuna wanaume washoka wananitaka nkapiga chini wala sina habari mm....huna habari na mm na mm cna habari na ww vilevile...yan nkikupigia usipokee ckutafuti ng'ooo

am better here
 
Back
Top Bottom