Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
- Thread starter
-
- #141
Pole kwa kuwa na mwenza aliye bize muda wote, waingereza wanasema 'Busy Bee'. ushauri wangu ni kuwa kuwa namna nzuri ya ku' deal' naye ni kumuomba mtoke naye safari nje kabisa mbali na eneo analofanyia kazi/shughuli (aina ya likizo au 'Honeney moon'). Safari hiyo yaweza kuwa mbugani au mikoa ya mbali na mnapoishi/fanyia kazi zenu. Nakutakia utekelezaji mwema.
Yaani bado upo upo tu.
Stage ya kutongozana mbona tushaivuka kitambo Mkuu..Tatizo mnaangalia upande mmoja, hamjui tu mnavyotupa wakati mgumu unamtongozs mwanamke mpaka maneno yanaisha yote
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio too much ila kuna ubaya gani asubuhi nikikujulia hali na usiku nikukutakia usiku mwema hapo vipi napo ni vibaya,dakika ngapi hapo kujibu.
Sawa.sasa utulivu wa mda gani
..
Ukishatulia hutopenda kuwajulia hali wapendwa wako?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe utakua unampiga mizinga ndo maana anakupotezea. Tena itakua kashasepa huyo jiongeze. Kwa ushauri kama una malengo na mtu jaribu kumuonyesha wewe sio tegemezi mwanzoni mwa mahusiano yenu. Punguza vizinga dada upate bwana tofauti na hapo utajikuta umri umeenda na huna direction yoyote.Amenishangaza..yani mnapoanza mahusiano nimezoea mnakua na hamu ya juu kumjua mwenzio..lakini yeye yuko relaxed..yani kama vile kashamamliza kila kitu
Hata mda wa kuonana hana
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda kwangu
Una subiri mpaka uambiwe sikutaki " Jiongeze basi mkuu "--- Hakunaga mapenzi ya kweli ya Style hiyo hasa kwa watu wanaojitambua .Swala sio kuchat mda wote..swala ni kutenga mda kwa ajili yangu.kuwa bize jtatu mpaka ijumaa sawa.basi tenga japo jmos na jpili kwajili yangu..hatabkama wikiendi utakua bize basi huwazi japo niweke SAA moja au mbili kumjulia hali mwenzangu?
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaJamani..mda wote ukiangalia last seen inaonyesha SAA hiyo hiyo lakini anadai hashiki simu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Una subiri mpaka uambiwe sikutaki " Jiongeze basi mkuu "--- Hakunaga mapenzi ya kweli ya Style hiyo hasa kwa watu wanaojitambua .
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe utakua unampiga mizinga ndo maana anakupotezea. Tena itakua kashasepa huyo jiongeze. Kwa ushauri kama una malengo na mtu jaribu kumuonyesha wewe sio tegemezi mwanzoni mwa mahusiano yenu. Punguza vizinga dada upate bwana tofauti na hapo utajikuta umri umeenda na huna direction yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
kiwajulia hali ni muhimu sana..na isiwe specific tym..punguza kumbana na txt..!ila usiache kumjulia hali..lakini isiwe too much..huna la maana unaanza kumtxt NIAMBIE..khaa mie nakublock fasta...!