Mpenzi aliye "busy" siku zote

kwani hamuwezi kuondoka mpaka muambiwe? Kwa taarifa yenu mtasubiri saana.. Ila tutaendelea kuwa skip ili baadae tuwatumie kama backup.. Saivi sina huruma na nyie viumbe
 
Dawa ya hao watu ni kuwachunia na wenyew me kuna kaka nae ananiletea mashauzi.ya kujitia yuko busy kuliko shetani nkasema hunijui weweee....wakati kuna wanaume washoka wananitaka nkapiga chini wala sina habari mm....huna habari na mm na mm cna habari na ww vilevile...yan nkikupigia usipokee ckutafuti ng'ooo

am better here
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…