Mpenzi aliye "busy" siku zote

Mpenzi aliye "busy" siku zote

Ulifanyaje sasa Meku?
We m kuna hyo jamaa aliniganda miaka minne jamn najitahd kumuonesha dalili kuwa aage mashindano lakn jamaa yumo tu mpaka nkawa najiulza hyu anataka anitoe kafara ama sasa hyu bibie nilivoona anataka atamkiwe na nna iman akitamkiwa anaeza omba msamaha asiachwe[emoji3] [emoji3] [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesoma baadhi ya maoni ya wadau humu, umetolewa ushauri very constructive.

Binafsi nimegundua Miss aggyjay unamnyima mwenzako mapenzi ndio maana huyo Boyfriend ako akaona bora ajiweke pembeni kwa style hiyo ya kujifanya yuko busy. Hilo yawezekana ndiyo mpango na msimamo wako labda hutaki sex mpaka ndoa, au mpaka uposwe n.k jambo ambalo mwenzako ameona kuchelewa au hakuwa na malengo yeyote na wewe zaidi ya uboifrendi na ugelofrendi tu.

Binafsi niliwahi kuachana na wadada 3 ambao walikuwa na mtazamo huo wa hakuna sex hadi ndoa, vitu vingine wanawake huwa mna complicate ikiwemo hilo suala la kunyimana kuti**na. Kwa Dunia ya sasa kushiriki ngono na mpenzi wako imekuwa sio option tena bali ni MUST kwa kuwa Tendo lile ndio Chachandu yenyewe ya kuboresha mahusiano kufikia NDOA.

Miss aggyjay tafakari umekosea wapi ili uweze kumrudisha ndege wako Tunduni.
Hapa kuna point

From profile picture to proper future
 
Duuuhh kazi sana, na utu uzima wako mkuu..hujui tu jamaa HAKUPENDI????
Huyu manzi ni zero brain,jamaa kasepa kimya kimya,kashtuka mapema,sijui kwanini huyu mwanamke hajiongezi,kwa maelezo yake,nimegundua kuwa mwana ana demu mwingine mwenye vigezo zaidi ya huyu..muache tu apambane na hali yake!
 
Hivi unaweza kudate na mpenzi aliye bize wiki nzima?

Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku, hata umtext hajibu. Utapiga na kuacha missed calls hata kumi simu haipokelewi. Hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!

Unajiuliza hali? Hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?

Hata muda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana, ni Jumatatu mpaka Jumapili, asubuhi hadi usiku, usiku hadi asubuhi.

Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani, wewe ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?

Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.

Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba ila akaweka simu pembeni bado yale yale yanaendelea.

Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi utaweza kujenga familia?

Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii?

That person does not love you.
There's no such a thing as busy for those we love and care and afraid to loose.
 
Kama namjua mlengwa [emoji848][emoji848][emoji848]
Hivi unaweza kudate na mpenzi aliye bize wiki nzima?

Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku, hata umtext hajibu. Utapiga na kuacha missed calls hata kumi simu haipokelewi. Hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!

Unajiuliza hali? Hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?

Hata muda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana, ni Jumatatu mpaka Jumapili, asubuhi hadi usiku, usiku hadi asubuhi.

Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani, wewe ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?

Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.

Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba ila akaweka simu pembeni bado yale yale yanaendelea.

Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi utaweza kujenga familia?

Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii?
 
Ahsante sana aggyjay uzi wako umenisaidia sana kiukweli nimepata majibu nilikuwa nataka, nipo in the same situation,
Mie pia hatujawahi hata onana ila hivi recently mabadiliko ni ubize uliokubuhu.!! Niliwahi ondoka lakini akagoma anasema ni majukumu nisiondoke.! Na akanilaumu sana why nakuwa sina uvumilivu while mwenzie hapo nimevumilia to the last drop.. Nilivyo mpuuzi nikarudi tena ila sahivi things have become more worse.!
Hapa I texted him since satano nimemuambia tu awe mkweli mbona nitaenda bila tatizo maana nishajiandaa kisaikolojia kuwa that love has already faded away.!!
Hajajibu mpaka sasa.!! Haha' nacheka kama mazuri.!!
Woooiii' tujiondokee zetu hebu.!! We're better than that.!!


Yaan hamjawah onana lakini anakuwa busy hvo?jaman msijiweke desperaate sana..aku!
 
Back
Top Bottom