Inspector Jws
Senior Member
- May 23, 2024
- 126
- 242
- Thread starter
- #21
Lishanichanganya hadi sijui kuandikaSio mwasilika ni muathirika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lishanichanganya hadi sijui kuandikaSio mwasilika ni muathirika
OkayWewe sio muathirika, ni mtu unaeishi na vvu....
Lakini pia usiwe mwepesi kusema hiyo hali kwa watu wa karibu kwani mapokeo ya vvu bado sio kawaida kwa baadhi ya watu.
Kiukweli amejaribu kunitunza siri,lakini pia katika masomo tunashirikiana japo siyo kama zamaniVipi asha alisitiri hali yako kwa maana hakutoa siri ya hali yako?
Je vp khs masomo mlishirikiana au ndo alikuhama mazima?
ChaiUkimwi siku hizi ni kama maralia
Sio mbaya kubwa amekuhifadhi,hongera sana kwa kushare nasi,uwe imara zaidi kiafya na kisaikolojiaKiukweli amejaribu kunitunza siri,lakini pia katika masomo tunashirikiana japo siyo kama zamani
Ni kweli kabisa mkuu. Tena haswa kabla hujaupata😥Ukimwi siku hizi ni kama maralia
Mwasilika = ❌mwasilika wa virusi vya UKIMWI."
Nilichukua pumzi ndefu, nikijitahidi kutuliza moyo wangu uliokuwa unadunda kwa kasi. Kisha nikasema, "Mimi ni mwasilika wa virusi vya UKIMWI. Nim.
Ni Kweli, hadithi yako ni Nzuri.Hadithi yangu na Asha ilikuwa ya huzuni, lakini pia ilikuwa fundisho kubwa kwangu .
Hii faraja huwa imekaa kinafiki sana.Wewe sio muathirika, ni mtu unaeishi na vvu....
Mawazo yako yapo sawaHii faraja huwa imekaa kinafiki sana.