Leonardchama7
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 2,963
- 4,027
Habari,
Kama kichwa cha bandiko kinavyojieleza hapo juu,mm ni mwanaume mwenye familia ya mke na watoto wawili,umri wangu 40yrs.
Msaidizi anayehitajika ni mwanamke umri kati 25-35 hata akiwa na mtoto mmoja siyo mbaya,mkristo atapewa kipaumbele.
Sababu za kutafuta msaidizi kwa mke wangu tutazungumza huko chemba,tukikubariana nitakuhudumia kama mke wangu,,
Karibuni Pm kwa mazungumzo kwa wenye uhitaji,,
Kama kichwa cha bandiko kinavyojieleza hapo juu,mm ni mwanaume mwenye familia ya mke na watoto wawili,umri wangu 40yrs.
Msaidizi anayehitajika ni mwanamke umri kati 25-35 hata akiwa na mtoto mmoja siyo mbaya,mkristo atapewa kipaumbele.
Sababu za kutafuta msaidizi kwa mke wangu tutazungumza huko chemba,tukikubariana nitakuhudumia kama mke wangu,,
Karibuni Pm kwa mazungumzo kwa wenye uhitaji,,