Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mapenzi motomoto...Umenikumbusha Albelari. ....... mahali flani hivi niliendaga zamaniii.
Sijui ya kwako inamaanisha nini....
Kasie again in the weekend... !!
Kwa wasio muelewa The one and Only "Kasie" ni kuwa ana communicate na mtu mmoja tu ktk post nzima. Na uzuri huyo mtu huwa anajijua.
(Hii ni mtazamo wangu ktk post zake)
Hapo ndipo msiba utakaponihusu sasa... usifanye hivyo Kassie wangu..
![]()
Hahahahaaa.....nyonda beibeeee
Mpe hi Lawrence 😉
tatzo, mpka waje hao uwapendao hata sisi tukupendao tupe nafasi, ili tuzisogegze isia mpka utupende ili mambo haya yasiwe ya msimu Babie kassie!Hahahahaaa looh huwa haipangwi hutokea na kuelezewa. .... ni hadi itokee.