DM ni wap eti?Natafuta mpenzi ambaye baadaye ikimpendeza Mungu atakuja kuwa mume na baba watoto wetu.
Sina vigezo vingi.
Awe mcha Mungu(mkristo), umri kuanzia 32yrs hadi 40yrs, Single na kama akiwa hana mtoto itakua vizuri zaidi,Kama anaye basi asizidi 1, awe mrefu(muhimu sana kwani hata mimi ni mrefu)
Sifa zangu:
Mrefu, mkristo 31yrs, sina mtoto bado, muajiriwa, naishi Dar.
Karibu pm kwa kufahamiana zaidi, kwa walio serious, kama haupo serious tafadhari..
Usiku mwema wote🙏
Thank you for being honest, na kweli sura yangu imeandikwa hivo.Sifa zote ninazo lakini nauliza, je sura ipo kwanza, isiwe ile sura imeandikwa some viewers may find this disturbing.
Kama sura ipo tuendelee kigezo cha pili, sote tunakijua.
Sorry for being honestly..
Shida ni nini na kuishi Dar?Shida inaanzia hapo kwamba unaishi dar.
Ushakosa mume.Thank you for being honest, na kweli sura yangu imeandikwa hivo.
Any way tufanye sura ni ile shake well before use, tako lipo?Thank you for being honest, na kweli sura yangu imeandikwa hivo.
Dar sio sehem ya kutafutia mke, labda pa kutafutia matatizoShida ni nini na kuishi Dar?
Habari ya wakati huu!
Natafuta mpenzi ambaye baadaye ikimpendeza Mungu atakuja kuwa mume na baba watoto wetu.
Sina vigezo vingi.
Awe mcha Mungu(mkristo), umri kuanzia 32yrs hadi 40yrs, Single na kama akiwa hana mtoto itakua vizuri zaidi,Kama anaye basi asizidi 1, awe mrefu(muhimu sana kwani hata mimi ni mrefu)
Sifa zangu:
Mrefu, mkristo 31yrs, sina mtoto bado, muajiriwa, naishi Dar.
Karibu pm kwa kufahamiana zaidi, kwa walio serious, kama haupo serious tafadhari..
Usiku mwema wote🙏
Yeyw ndio mchoraji hajaanza leo tunamjuaWatakuja wengi na wataishia kukupotezea muda....bahati iwe kwako.Amina
Swali la msingi sana hilo...Trako lipo..?
Msifukunyue,si vyema mkuu....kuna watu wanatafuta wenza kweli
Huyu ulimpeleka wapi mpendwa.
Mbona mnapenda kutuchora?