To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
SawaYeyw ndio mchoraji hajaanza leo tunamjua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaYeyw ndio mchoraji hajaanza leo tunamjua
Wazee wakufukua makaburi.
Huyu ulimpeleka wapi mpendwa.
Mbona mnapenda kutuchora?
Umetumia maneno makali kidogo.Trako lipo..?
mawasliano tafadhariHabari ya wakati huu!
Natafuta mpenzi ambaye baadaye ikimpendeza Mungu atakuja kuwa mume na baba watoto wetu. Sina vigezo vingi.
Awe mcha Mungu(mkristo), umri kuanzia 32yrs hadi 40yrs, Single na kama akiwa hana mtoto itakua vizuri zaidi, Kama anaye basi asizidi 1, awe mrefu(muhimu sana kwani hata mimi ni mrefu)
Sifa zangu:
Mrefu, mkristo 31yrs,sijawahi kuolewa na sina mtoto bado, muajiriwa, naishi Dar.
Karibu pm kwa kufahamiana zaidi, kwa walio serious, kama haupo serious tafadhari..
Usiku mwema wote🙏
Hataki kuzaa viandunje..!!Kwaiyo sisi wafupi wenye hela zetu hamtutaki Unataka warefu wenzio ili mzae mangongoti? Eet
Tuma picha kwanza watu wakusaminishe wasije uziwa mbuzi kwenye kiroba.Habari ya wakati huu!
Natafuta mpenzi ambaye baadaye ikimpendeza Mungu atakuja kuwa mume na baba watoto wetu. Sina vigezo vingi.
Awe mcha Mungu(mkristo), umri kuanzia 32yrs hadi 40yrs, Single na kama akiwa hana mtoto itakua vizuri zaidi, Kama anaye basi asizidi 1, awe mrefu(muhimu sana kwani hata mimi ni mrefu)
Sifa zangu:
Mrefu, mkristo 31yrs,sijawahi kuolewa na sina mtoto bado, muajiriwa, naishi Dar.
Karibu pm kwa kufahamiana zaidi, kwa walio serious, kama haupo serious tafadhari..
Usiku mwema wote🙏
Yes mtaani hamna na yes nna sura ya babaMtaani kwenu hakuna wanaume hadi unakuja kusaka wanaume anonymous mrembo.
Au nyie ndo sura ya baba.
Ahsante sana ubarikiweMungu akupe haja ya moyo wako.
Mawasiliano nimeomba tuonane pmmawasliano tafadhari
Picha hapana for now, ila kama upo serious tutatumiana tukishafahamiana👏Tuma picha kwanza watu wakusaminishe wasije uziwa mbuzi kwenye kiroba.
Ahsante sanaKila la kheri mkuu
Don't jump into conclusion, if you're not sure, kuna mtu ulinipa hadi useme nilimpeleka wapi? Siyo vizuri na kama unahisi nakuchora sawa sijakulazimisha acha walio serious waje.
Huyu ulimpeleka wapi mpendwa.
Mbona mnapenda kutuchora?
Kilalakheri dada ukampate mwenye mapenzi ya kweli ili mkaanzishe familia iliyo bora, ila kuwa makini huko inbox mana wahuni ni wengi watakaokuja kwa gia ya ndoa kumbe ni hit and run.Picha hapana for now, ila kama upo serious tutatumiana tukishafahamiana👏
Naomba Mungu juu ya hilo, i hope anaweza kuwa mrefu na mwenye akili pia, sidhani kama kila mrefu hana akiliApo kwenye kimo . Utakosa wenye akili !
Ahsante sana, ntakua makini kadri ya uwezo wa kibinadamu, mengine namuachia MunguKilalakheri dada ukampate mwenye mapenzi ya kweli ili mkaanzishe familia iliyo bora, ila kuwa makini huko inbox mana wahuni ni wengi watakaokuja kwa gia ya ndoa kumbe ni hit and run.