TT= ngongotiSasa ukichukua Shotii sindo tunabalance watoto vizuri ..haya we unataka shotii tuchukuane kwa shotii? Kuwa mstaarabu kidogo ..Nimeku PM huko
Ahsante sanaKila la kheri😊
Sawa kila lakheriSiku akijitokeza binti wa mji niliopo nitajaribu kufanya utafiti kama hii huwa ni serious business ama vipi.
HalipoTrako lipo..?
Why na muhuni yoyote?Zaa ww na muhun yyte
SawaUna miaka 32 still unataka mume wa baadae!? baadae wapi unataka uolewe mzee kikongwe
Hapana si hivyo mkuuKwaiyo sisi wafupi wenye hela zetu hamtutaki Unataka warefu wenzio ili mzae mangongoti? Eet
Hapana si hivyo mkuu
Kwenye hilo sina hata la kujitetea , ila tu mimi ni mrefu so muda hata wa kuhug or kiss itabidi upande kwenye meza😢Jitete sasa
Ndiyo hili ni gazeti la jioniBidhaa ikiishiwa soko vigezo na masharti hupungua.
Tako Je?Thank you for being honest, na kweli sura yangu imeandikwa hivo.
Umezunguka sana , kama ana hizo sifa sawa hata akiwa huko kijijini tutaishi tuMimi kuna mtu namjua ambaye aliambiwa kulikuwaga na mtu ambaye aliskia kwamba katika pitapita zake aliwahi kusikia kuna mtu alitamka kwamba kwao kasikia kuna mtu anatafuta mke
Sina chochoteTako Je?
#YNWA