- Thread starter
- #21
Mi mkristu ninaelewa sana mambo hayoWe unaonaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi mkristu ninaelewa sana mambo hayoWe unaonaje?
Suluhisho ni Uislam tu.Mi mkristu ninaelewa sana mambo hayo
Kuna watu wakiondoka kwao huwa hawatakiwi kurudi kwa namna yoyote labda kwa matukio muhimu tena anakaa masaa anaondoka.Namfahamu Kwa muda ingawa alinieleza Kuna kitu kilimpata alipoenda kijijini kwao aliamka siku moja akakuta amechanjwa chale basi mi nikachukulia rahisi maana hakuna gumu kwa yesu lkn namuona sasa matatizo yake hayaskii dawa wala maombi namuona sasa kama yeye ndo mzimu mwenyew typically....vp kilikupata kipi?
Mimi ninaye boyfriend kama huyu,Leo ataniambia nina. Mawazo sana,kesho usiku sijalala Nina mawazo
Leo nimeota ndoto mbaya,
Niombee tutafika tu, Leo sijisikii vizuri kabisa.
Nina stress sana
Sina hela,yaan mambo anayokueleza ni huzuni huzuni
YAANI haiwezi pita siku 2 hajakueleza vitu kama hivi
Sasa me naona anataka kuniambukiza stress, mwanaume unawezaje kuwa hivyo ? Me nahitaji mwanaume ambaye ni MWANAUME
Nimeamua kumkwepa na simuhitaji tena
Huyo mwanamke jina lake linaanzia A?, ni mweupe mfupi? Kwao ni kanda ya magharibi? Hebu nijibuMi mkristu ninaelewa sana mambo hayo
😅Mimi ninaye boyfriend kama huyu,Leo ataniambia nina. Mawazo sana,kesho usiku sijalala Nina mawazo
Leo nimeota ndoto mbaya,
Niombee tutafika tu, Leo sijisikii vizuri kabisa.
Nina stress sana
Sina hela,yaan mambo anayokueleza ni huzuni huzuni
YAANI haiwezi pita siku 2 hajakueleza vitu kama hivi
Sasa me naona anataka kuniambukiza stress, mwanaume unawezaje kuwa hivyo ? Me nahitaji mwanaume ambaye ni MWANAUME
Nimeamua kumkwepa na simuhitaji tena
Ni mwanaume mtu wa Kanda ya ziwaHuyo mwanamke jina lake linaanzia A?, ni mweupe mfupi? Kwao ni kanda ya magharibi? Hebu nijibu
Ah ok.Ni mwanaume mtu wa Kanda ya ziwa
wooooiiii,,yani ni yale yale,, anaweza kua muongo au mkwel mimi wangu alikua muongo aseee,,mfatilie vizuri uyo yani mfatilie ndugu kabla hayajawa makubwa kama mimi.Namfahamu Kwa muda ingawa alinieleza Kuna kitu kilimpata alipoenda kijijini kwao aliamka siku moja akakuta amechanjwa chale basi mi nikachukulia rahisi maana hakuna gumu kwa yesu lkn namuona sasa matatizo yake hayaskii dawa wala maombi namuona sasa kama yeye ndo mzimu mwenyew typically....vp kilikupata kipi?
wooooiiii,,yani ni yale yale,, anaweza kua muongo au mkwel mimi wangu alikua muongo aseee,,mfatilie vizuri uyo yani mfatilie ndugu kabla hayajawa makubwa kama mimi.
mwanzo alikua ivo ivo au kaanza gafla tu?NIpe experience kidogo...Yan najikuta Kila siku nna stress
Kwaiyo una mpango wa kutengana nae hata kama asingekua na matatizo?Chanzo alichajwa chale ndo matatizo yalipoanzia alianza na kupata ndoto mbaya then mikosi lkn alizembea hiyo ilikuwa 2019/2020 lkn amekuja kufunguka mwaka huu j
Ni ke mwenye huruma na ninatamani matatizo yake yaishe before sijajitenga nae Ili nisije kumuacha akasema nimekimbia matatizo
Yataka moyoKwaiyo una mpango wa kutengana nae hata kama asingekua na matatizo?
si umpe hasara ili ujue kama utapata hasaraMpenzi nilienae Kila siku ana matatizo jamani Kila siku yeye hasara yeye, kikosa ajira yeye. Kila siku ananipa habari mbaya nahisi ana mikosi na najikuta Mimi ndo naumizwa na matatizo yake nimejaribu kumpeleka kwa watumishi wa Mungu apate huduma lkn wapi!
Nimeomba na kufunga lakini wapi
Najiona napotea kabisa ila namuombea Kwa Mungu matatizo yaisheKwaiyo una mpango wa kutengana nae hata kama asingekua na matatizo?
Howsi umpe hasara ili ujue kama utapata hasara
dawa ya moto ni moto. we weka moto uletewe maji