Mpenzi wa Ben Pol ni binti tajiri Africa Mashariki

Mpenzi wa Ben Pol ni binti tajiri Africa Mashariki

Vijana bado hawajajua nini hasa Mapenzi. Mapenzi na ukwasi ni vitu 2 tofauti kabisa wajameni
 
Vijana bado hawajajua nini hasa Mapenzi. Mapenzi na ukwasi ni vitu 2 tofauti kabisa wajameni
Ukwasi na mapenzi vinaenda sambamba hasa kwenye kuyadumisha.
Ukiwa huna pesa hata nguvu za kiume zinapungua
 
[emoji1][emoji1]mkuu ukiwa na pesa hata demu anawahi kufika kileleni stress hana
 
Unamfahamu Anerlisa Muigai? Huyu ni binti wa Kikenya na CEO wa NERO company ni campany ya maji inayoongoza nchini Kenya.
Mama yake Thabita Karanja ni moja ya matajiri wanawake nchini Kenya, ni CEO wa campany ya Keroche breweries.

Thabita Karanja founder and CEO of Keroche Breweries, the largest locally owned brewery in Kenya, this outstanding business woman and award winning entrepreneur has built her fortune through a keen business sense and relentless determination. Her company has a turnover of KSh 1.5 billion (US14.4 million).

Hata hivyo binti huyo mwenye miaka 30 hakutaka kufanya kazi kwenye kampuni ya mama yake na kuamua na kuamua kuanzia kampuni yake ya maji NERO.
Been Pol na Anerlisa waliazisha uhusiano baada binti huyu kumkodi Ben Pol kutumbuiza kwenye event ya kampuni yake. Anerlisa amekiri kuishi na Ben Pol pamoja kwenye Mansion katika Safari zake zote za Nairobi wakati akihojiwa.
Kabla ya binti huyo tajiri Ben Pol alikuwa kwenye mahusiano na msanii wa vichekesho Ebitoke.

View attachment 950245View attachment 950248View attachment 950249View attachment 950252View attachment 950253View attachment 950255View attachment 950257View attachment 950258View attachment 950259
Demu ni mkali, swali ni je watadumu?
 
Watu mnachekesha.
umeona hilo Mkuu? kuna mambo hata kuchangia member inakushinda
  1. kuna ulimbukeni wa maisha na mapenzi hapo hapo
  2. kunaudanganyifu wa mapenzi kwani hao watu ni tofauti kati ya huyo Ben Pol Mgogo mwenzangu wa Mpunguzi Dodoma kujifananisha na mtoto wa tajiri wa Kenya
  3. Bitoke ndio mahala pake au kushuka chini tu na kuoa wa level yake
 
Ile ilikuwa ni mpango wa biashara wa timamu tv kumpromote huyo dem kwahiy ben pol alilipwa ila alikamega kisela maisha yakaendelea


Mbona habari chini ya kapeti zinasema ni Ben Pol ndiye aliyekuja kugeuziwa kibao na Ebitoke kwa kuliwa tigo.
 
Kaokota dodo kwenye mwarobaini..na hapo kashukuru na alivyo bahiri ...mbona anachekelea
 
Back
Top Bottom