Mpenzi wa Ben Pol ni binti tajiri Africa Mashariki

Mumpe bendera ya taifa pia tumuombee aiwakilishe nchi vema na arudi na ushindi wa mapacha.
 
Penz la ebitok na ben lilianza kama kimbunga. Couple ikatengenezewa nickname maalumu hadi engine kama wikipedia ikasajiriwa.
Lakini sijawahi kujua liliishia kwa mvumo upi
 
Na sisi ambao siyo wasanii na tunandoto za kutoka na watoto wakali kama hao tunacomment wapi???
 
Wizara husika ilione hili na imkabidhi Ben bendera ya Taifa maana upande huu naona tunafanya vizuri, tunawakilishwa vema.
 
Hapo Itakuwa Demu ndiyo kamtongoza ben Kwa kisingizio cha kumwita kufanya shoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…