Mpenzi wa Ben Pol ni binti tajiri Africa Mashariki

Mpenzi wa Ben Pol ni binti tajiri Africa Mashariki

Hahahahaa Kazi Kweli kweli....Hongera Ben Pol kwa kuopoa Binti mtoto wa TAJIRI,Mtafute Dogo Janja akupe "PUTURU" ili utuwakilishe vizuri huko NAII.
 
Ile ilikuwa ni mpango wa biashara wa timamu tv kumpromote huyo dem kwahiy ben pol alilipwa ila alikamega kisela maisha yakaendelea
Kuku was kienyeji Ben Pol alimla vizr tu Tena kipindi kill kashamba alikafaidi
 
Kama demu ni mzuri af anapesa kukuzidi....atakupenda mwanzon ila mambo yakikaa kwenye equilibrium, lazima utaachwa tuu au utakuwa unapigiwa hadharani...maumivu ya hapo sasa...kiufup hawa huwa ni kujiatach kiaina....walishasema Usimwamini Mwanamke hata kama unamtania
 
Huyo demu hataweza kuja kuolewa na ben pol, Pen Pol hadi hapo alipo alitakiwa awe na miradi yake inayo eleweka kama diamond, huyo demu atakuwa anamtunza siku atamchoka atampiga chini
Unaambiwa toka 2016 demu anamuota Ben..huyo mtoto wa kitajiri na yeye anazo zake..sio wale "mabosslady" wadangaji teh teh teh
 
Unamfahamu Anerlisa Muigai? Huyu ni binti wa Kikenya na CEO wa NERO company ni campany ya maji inayoongoza nchini Kenya.
Mama yake Thabita Karanja ni moja ya matajiri wanawake nchini Kenya, ni CEO wa campany ya Keroche breweries.

Thabita Karanja founder and CEO of Keroche Breweries, the largest locally owned brewery in Kenya, this outstanding business woman and award winning entrepreneur has built her fortune through a keen business sense and relentless determination. Her company has a turnover of KSh 1.5 billion (US14.4 million).

Hata hivyo binti huyo mwenye miaka 30 hakutaka kufanya kazi kwenye kampuni ya mama yake na kuamua na kuamua kuanzia kampuni yake ya maji NERO.
Been Pol na Anerlisa waliazisha uhusiano baada binti huyu kumkodi Ben Pol kutumbuiza kwenye event ya kampuni yake. Anerlisa amekiri kuishi na Ben Pol pamoja kwenye Mansion katika Safari zake zote za Nairobi wakati akihojiwa.
Kabla ya binti huyo tajiri Ben Pol alikuwa kwenye mahusiano na msanii wa vichekesho Ebitoke.

View attachment 950245View attachment 950248View attachment 950249View attachment 950252View attachment 950253View attachment 950255View attachment 950257View attachment 950258View attachment 950259
Asituangushe kama Dimpoz wenzake wakina Harmonize,AY,Kiba,Diamond,Hussein Machoz wanatuwakilisha vyema na kupeperusha bendera ys nchi yetu kikamilifu
 
Back
Top Bottom