Jenseny
JF-Expert Member
- Jan 26, 2011
- 1,743
- 1,738
duhNimefikiri gap la Ebitoke na huyo demu utofauti wake ni mbingu na nchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duhNimefikiri gap la Ebitoke na huyo demu utofauti wake ni mbingu na nchi.
Mkuu option ya pesa atleast uwe maarufu ndo kilichombeba Ben PolHakika mungu aliumba watu na bahati zao, kama huna pesa Hakika huwezi faidi mema ya dunia
Mbn foreign currency hatuioni Inabdi tuanze kuwadaiTuna Export Wanaume siku hizi,Nafikiri Tuanze kutoza export levy Hapa
Hhh...matusi sasa hayaUtofauti wake ni kama Paris na Mbagala
Haaaah! Haaaah! Haaah! Haaaah! Nimegeuza nyuma Nimekuta camera tu! Huna adabu wewe!Nyuma ya huu uzi🙂🙂🙂
Nyuma ya huu uzi🙂🙂🙂
Mkuu Ben Pol sasahivi Kila weekend yupo Nairobi demu kashatengeneza studio ndani ya Mansion. Sema kauli tu ndo atakuwa hana
So Ben Pol anatunzwa na huyu demu..Huyo demu hataweza kuja kuolewa na ben pol, Pen Pol hadi hapo alipo alitakiwa awe na miradi yake inayo eleweka kama diamond, huyo demu atakuwa anamtunza siku atamchoka atampiga chini
Kama nilivyocheka mimi"" Kabla ya binti huyo tajiri Ben Pol alikuwa kwenye mahusiano na msanii wa vichekesho Ebitoke ""
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Ukiifikiria hii sentence utacheka sana.
Ben Pol ana biashara gani inayo elewe hapa mjini?? Huyo demu tumesha ambiwa ni ni billioner, Ben atakuwa anatunzwa hamna namnaSo Ben Pol anatunzwa na huyu demu..
Ben anajiweza vzr sana potelea mbali huyo demBen Pol ana biashara gani inayo elewe hapa mjini?? Huyo demu tumesha ambiwa ni ni billioner, Ben atakuwa anatunzwa hamna namna
Mademu wenye hela Kama hao huwa na kiburi kwenye relationship, wanajiamini kupitiliza, unless awe mtu wa dini na ibada.Huyo demu hataweza kuja kuolewa na ben pol, Pen Pol hadi hapo alipo alitakiwa awe na miradi yake inayo eleweka kama diamond, huyo demu atakuwa anamtunza siku atamchoka atampiga chini