nasikia mfuata mkumbo nae katafutiwa dem u kutoka Kenyakwa hiyo TUNA MABALOZI WAWILI KENYA !
sawa!
Yaani mtu amualike Chid benz kwa mfano...HIP HOP HAILIPI(KWA TANZANIA), PESA HUPATI, HATA WATOTO WAZURI HUPATI, UNADHANI MTOTO GANI MREMBO KWENYE 'PARTY' YAKE AMUITE MWANA HIP HOP AJE KUTUMBUIZA,
ANGALIA KIJANA WETU, KAITWA KUTUMBUIZA MWISHOWE KABEBA NA MWENYE SHEREHE... NAANZA KUIMBA SOON
Sawa mkuu, acha tumtakie kila lakherimshika mapembe wa kutajwa kwenye interview!
Huyu mrembo hana lolote la kupoteza kwa kumfanya ben awe mshika mapembe!
na hana chochote cha kugain akisema YES, HE IS MY MAN!
so being it amesema ,AH JAMAA KALA SHAVU!
asilaze damu sasa na kundekeza kulamba lips!
Ebitoke ilikuwa KIKI hawakuwa na MAHUSIANONimefikiri gap la Ebitoke na huyo demu utofauti wake ni mbingu na nchi.
Haaaa a haaaa. Haaaa a haaaa haaaaUkisoma comment za wanaume wa kibongo zinatia aibu..
Hiyo "Ebitoke" ndiyo kitu gani.?!Nimefikiri gap la Ebitoke na huyo demu utofauti wake ni mbingu na nchi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ukisoma comment za wanaume wa kibongo zinatia aibu..
jigeuze ue mwanaume ushuhudie nilichokwambia.....SAIVIweee!
HATA WANAUME hakuna MNAOFANANA!
acha kabisa kupendwa na mwanamke mwenye hela halafu kisu!
KWA AGE YA ben POL , kuanza kumwambia habari ya sijui virtue sijui nini mnamnuonea!
KILA UMRI UNA AINA YA MWANAMKE UNAONA UNAFAAA!
so this combo is EL PERFECTO!
Aliyenipa kyyyuma.Aliye kudanganya nani
Aibu naona mimi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mtusamehe awamu Hii mambo magumu kweli mpaka wanaume wanaomba wapate zali kama la Benpol
Unataka wanawake wamtegemee nani?Ukiona hivo wengi ni wahanga wa kupigwa mizinga, wanawake wamekuwa tegemezi kupitiliza ukizingatia Hali ya maisha
Hahaha. Unezibuka.Mkuu kwa kiwango(muonekano) cha huyo binadamu, Ebitoke akilalama ntamuona zile komedi huwa haigizi bali ndio akili yake. Kuna vifaa ukichukua hata mkeo anaweza jisifu,"mchepuko wetu uko fine"
Mkuu kwanini hawezi funga ndoa na Ben Pol? Tupe uzoefu au unahisi wake wazazi watagomaApige mimba .. aache kuzubaa.. ! Coz huu binti najua hawezi kufunga ndoa na Ben pool, cha kufanya Ben piga mimba then mtoto atakuja kukutoa siku za mbeleni!
Baba zao.Unataka wanawake wamtegemee nani?