Jamani wewe bwabwa nimpeleke wapi sasa???Huyo wa kote kote ondoa kabisaaaaa!!!Ila huyo mwingine anakaribishwa!
We bwana....yani chakuriplai kwa quote umeona cha Thanks ndo kinapiga chenga???Mwanzo wa kilipo cha kuriplai!!!jamani sio kihivyo hicho kitufe cha thanks hata cjui kilipo,ushamba huu jamani c unajua mashokolo mageni embu nielekeze nikutwange kimoja
Ntapendelea ya baradi!!Alafu naweza kupata na kitafunio kidogo/?
We bwana....yani chakuriplai kwa quote umeona cha Thanks ndo kinapiga chenga???Mwanzo wa kilipo cha kuriplai!!!
sihitaji mawani hapa........Fidel, changamka hii ni strait to your inbox.Kila siku watu wanazidi kutafuta wenzi humu!Wengine wanataka kuoa kabisa...wengine kuondoa upweke..sasa na mimi natafuta wangu leo wapendwa!Natafuta mkaka awe mpenzi wangu wa JF..yani mambo yote yanaishia humu humu!Vigezo:1.Umri usipungue 20 tu..sitaki mtoto mie! 2.Elimu haijalishi...maadam kutype JF anaweza sihitaji cheti! 3.Sura..umbo sijali! 4.Kigezo muhimu awe mcheshi..mwenye furaha ..na good sense of humour ili tuondoane mastress ya nyuma ya pc!Nawakilisha....!
Agiza chochote utapendelea nini jioni hii?
Mchungaji hajatangaza nia sasa!!Au niwe mtandawazi nianze mimi???
You might not be perfect TO me.........but you are perfect FOR me!Mchungaji hajatangaza nia sasa!!Au niwe mtandawazi nianze mimi???
Pochi iko safi lakini???Usije ukakimbia ukaniachia bili na mimi nimejiandaa kula tu sio kulipa!!!
Mchungaji naomba uwe wangu wa ubani....natamani niwe mama mchungaji wako!!!:redfaces: