Mpenzi wa JF!!

Mpenzi wa JF!!

naomba uandike kwa herufi kubwa, font kubwa na bold! Hadi malaika wakisoma hii wakubaliane na malaika mkuu gabriel

mchungaji naomba niwe wako wa ubani!!we uwe baba mchungaji na mimi mama!!!
 
mchungaji naomba niwe wako wa ubani!!we uwe baba mchungaji na mimi mama!!!

Umesomeka! Angalizo la Mwisho, watu wa Mungu huwa hawataniwi.......nahitaji toa mahali? kuchakachua siku moja moja?
 
Ehhhh mara hii unataka kunitunuku na mchuma!!!Mambo sino hayo sasa!!!:whoo:

Ahaaa, kumbe unapendaga viofa vidogo vidogo.
Stuka hapa mjini ati, hakuna cha mchuma hapo, mdau ana agenda yake binafsi, badala ya kuondoa stress utaishia kulia.
Cha msingi we tulia tu mbona ulishanikubali au "NEC" bado inaendelea na kazi?
 
Ehhhh mara hii unataka kunitunuku na mchuma!!!Mambo sino hayo sasa!!!:whoo:

Beautful ladies are delicate materials, should be handled with extreme care. Uta enjoy every minute uko na mimi, just ask i will provide. jibu swali langu basi bby!
 
Ahaaa, kumbe unapendaga viofa vidogo vidogo.
Stuka hapa mjini ati, hakuna cha mchuma hapo, mdau ana agenda yake binafsi, badala ya kuondoa stress utaishia kulia.
Cha msingi we tulia tu mbona ulishanikubali au "NEC" bado inaendelea na kazi?

Tulia wewe! Magari yao ni vitz tu, lakini akitaka prado hakuna shida atapata, Sio viofa ni miofa kibao!
 
Kila siku watu wanazidi kutafuta wenzi humu!Wengine wanataka kuoa kabisa...wengine kuondoa upweke..sasa na mimi natafuta wangu leo wapendwa!Natafuta mkaka awe mpenzi wangu wa JF..yani mambo yote yanaishia humu humu!Vigezo:1.Umri usipungue 20 tu..sitaki mtoto mie! 2.Elimu haijalishi...maadam kutype JF anaweza sihitaji cheti! 3.Sura..umbo sijali! 4.Kigezo muhimu awe mcheshi..mwenye furaha ..na good sense of humour ili tuondoane mastress ya nyuma ya pc!Nawakilisha....!
AaAAAAAAAAAHHHHH BANAAAAAAAAAHHH
 
Umesomeka! Angalizo la Mwisho, watu wa Mungu huwa hawataniwi.......nahitaji toa mahali? kuchakachua siku moja moja?

Kuchakachua tena mchungaji?Mpaka tusimame pale mahali!Mahari nikabidhi mimi tu!
 
Tulia wewe! Magari yao ni vitz tu, lakini akitaka prado hakuna shida atapata, Sio viofa ni miofa kibao!

Kiongozi wangu mbona unakuwa dhaifu kiasi hicho? usimtangulizie mtoto vitz, siku akitaka hummer na ukashindwa kununua ndio umempoteza, utabaki kulalamika. Isitoshe mkuu unatuharibia sie tusio na uwezo wa kununua vitz, huyu hakufai tuachie sisi.
 
Kuchakachua tena mchungaji?Mpaka tusimame pale mahali!Mahari nikabidhi mimi tu!

Natangaza kama ni Mnada umefungwa! Thanks guys for coming and your bid

karibu mama Mchungaji
 
Ahaaa, kumbe unapendaga viofa vidogo vidogo.
Stuka hapa mjini ati, hakuna cha mchuma hapo, mdau ana agenda yake binafsi, badala ya kuondoa stress utaishia kulia.
Cha msingi we tulia tu mbona ulishanikubali au "NEC" bado inaendelea na kazi?
Hahahaha!Ulishawahi kusikia mtu anadhani amepata kumbe kapatikana?Ndo hii sasa..akiniingiza mjini ye anajikuta kichakani!Hehe LEC inajitahidi kuchakachua haraka haraka majibu yatoke kabla ya jua kuzama!
 
Beautful ladies are delicate materials, should be handled with extreme care. Uta enjoy every minute uko na mimi, just ask i will provide. jibu swali langu basi bby!

Hata sijui!Utanifundisha??
 
Kiongozi wangu mbona unakuwa dhaifu kiasi hicho? usimtangulizie mtoto vitz, siku akitaka hummer na ukashindwa kununua ndio umempoteza, utabaki kulalamika. Isitoshe mkuu unatuharibia sie tusio na uwezo wa kununua vitz, huyu hakufai tuachie sisi.

Oh samahani mkuu kumbe nimetumi siraha kubwa sana! akinitosa sitaumia sababu ya vitz ila nimempenda kweli, hela majaaliwa mimi nina mpatie vyote atakavyo sababu ya lv Mura. Ila inaonyesha hana gharama.
 
Back
Top Bottom