Mpenzi wa JF!!

Mpenzi wa JF!!

Hii imekua mbaya kwangu moyo ulisha dondokea hapo! itanibidi ni post yangu ili niwe na uhuru wa kuchagua. Ah ngoja nikapoteze mawazo pub MM kazana unaweza mpindua huyo Rev! Tatizo mijitu mingine inatanguliza maombi!!!!! :redfaces:Sorry rev:redfaces:
Pole Eli!!Usilewe sana utaongeza mawazo!!Anza mchakato wa kutafuta basi...
 
Hii imekua mbaya kwangu moyo ulisha dondokea hapo! itanibidi ni post yangu ili niwe na uhuru wa kuchagua. Ah ngoja nikapoteze mawazo pub MM kazana unaweza mpindua huyo Rev! Tatizo mijitu mingine inatanguliza maombi!!!!! :redfaces:Sorry rev:redfaces:

kiongozi sina mpango wa kumpindua mchungaji wangu, kimsingi itifaki imezingatiwa.

Na kwa kweli usifanye mchezo na nguvu ya maombi, si unaona wakati sisi tunapigana vikumbo mchungaji yeye anatangaziwa nia bila kutarajia.
 
Elia nshamalizana nae hadi amenielewa, tatizo Mchungaji, amekomaa hadi kimeeleweka.

Pamoja na kukupendaga sana lakini imebidi nimheshimu mchungaji wangu, ingawa najua nawewe umemkubali kwa sababu ya protocol tu, chaguo la ukweli ni mimi.

MM Mimi nawaogopa wachungaji, halafu nasikia huyu anatoa mapepo asije yafukuzia kwetu. Hata Lizzy kamkubali sababu hiyo tu, hajampenda wala nini!
 
Kabisa!We baki ukijua unapendwa!

kwakuwa akiba haiozi, ngoja namimi nikuweke akiba moyoni mwangu, siku yakikushinda kwa mchungaji usipate tabu kufikiria ni nani atakupokea huku mtaani.
 
Pole Eli!!Usilewe sana utaongeza mawazo!!Anza mchakato wa kutafuta basi...

It will take sometime roho ilisha dondokea hapo. nitakunywa sana ila nitaongozana na mtu wa kuhakikisha narudi nyumbani salama.
 
MM Mimi nawaogopa wachungaji, halafu nasikia huyu anatoa mapepo asije yafukuzia kwetu. Hata Lizzy kamkubali sababu hiyo tu, hajampenda wala nini!

Hahahahahahahah so funny!
 
MM Mimi nawaogopa wachungaji, halafu nasikia huyu anatoa mapepo asije yafukuzia kwetu. Hata Lizzy kamkubali sababu hiyo tu, hajampenda wala nini!

Hahaha!Mbona mnataka kuniharibia sasa??Au ndo mnataka mchungaji aniache mfurahie kilio changu?
 
Hahaha!Mbona mnataka kuniharibia sasa??Au ndo mnataka mchungaji aniache mfurahie kilio changu?

Nimekuganda kama luba! waambie watulie na mioyo yao kama maji mtungini
 
It will take sometime roho ilisha dondokea hapo. nitakunywa sana ila nitaongozana na mtu wa kuhakikisha narudi nyumbani salama.

Ukiweka usalama wako mbele itakua safi!
 
MM Mimi nawaogopa wachungaji, halafu nasikia huyu anatoa mapepo asije yafukuzia kwetu. Hata Lizzy kamkubali sababu hiyo tu, hajampenda wala nini!

ebwana kweli kabisa, mi nilikuwa sijastukia hii kitu,

kama ndo mpango wenyewe basi tena, wacha na mimi nikimbie,mapepo si ya kufanyia mzaha, akiyalengesha kwetu hata key boards tutakuwa hatuzioni, JF nzuri bana, dont dare to miss it.
 
ebwana kweli kabisa, mi nilikuwa sijastukia hii kitu,

kama ndo mpango wenyewe basi tena, wacha na mimi nikimbie,mapepo si ya kufanyia mzaha, akiyalengesha kwetu hata key boards tutakuwa hatuzioni, JF nzuri bana, dont dare to miss it.

Embu acheni woga!Huyu wa mahubiri tu...hiyo idara ya mapepo ina wenyewe!
 
Mchungaji mbona hata huniambii kama unanipenda?Au yote ni kutengeneza picha nzuri kwaajili ya kanisa?

Malaika wa Mbinguni wanajua nakupenda, baba Askofu anajua hilo, walei wanajua hilo, mimi najua hilo, wewe wajua nakupenda!
 
Hahaha!Mbona mnataka kuniharibia sasa??Au ndo mnataka mchungaji aniache mfurahie kilio changu?

Hatutafurahia kilio chako ila availability teh teh teh..
 
Lizzy:A S kiss:Nishakunyunyizia, hubanduki!
 
Back
Top Bottom