Mpenzi wa JF!!

Mpenzi wa JF!!

Mapenzi ya keyboard yananoga sana. Angalia lizzy usije ukamsahau shemeji.
Naona watu wengi wanatangaza nia. Na mimi sijui nitangaze...!! Lol
 
Mapenzi ya keyboard yananoga sana. Angalia lizzy usije ukamsahau shemeji.
Naona watu wengi wanatangaza nia. Na mimi sijui nitangaze...!! Lol

Hahahaha hasahauliki mtu bwana!Raha yake hayana stress haya!Tangaza na wewe upate wako!
 
Mapenzi ya keyboard yananoga sana. Angalia lizzy usije ukamsahau shemeji.
Naona watu wengi wanatangaza nia. Na mimi sijui nitangaze...!! Lol

Tangaza tu dada labda uniondolee balaa la kutochaguliwa na lizzy.
 
Huko Unga limited unakoishi hakuna mwanaJF. Hebu mPM PakaJimmy a do the needful.

Kama mimi nna miaka 37.5 ndo imekula kwangu japokuwa vigezo vyote vimenikubali? (Nna mashaka kama kweli unatafuta mpenzi wa kwenye keyboard huku ukiweka limitations za umri)... Kwa sisi tuliozaliwa Ocean road enzi hizo tunasema: STUKA!!

Kwa hiyo kama umri si kigezo, waweza kunikubali mie? I em onle 56 yiaz old, single babu.

Umepotea sana mkuu tumemiss vichekesho vyako hapo kwenye umri niltaka ku-comment lakini kwakuwa umerekebisha mwenyewe sitasema kitu Nyamayao alishatueleza umri wako muda uliopita.
 
Kila siku watu wanazidi kutafuta wenzi humu!Wengine wanataka kuoa kabisa...wengine kuondoa upweke..sasa na mimi natafuta wangu leo wapendwa!Natafuta mkaka awe mpenzi wangu wa JF..yani mambo yote yanaishia humu humu!Vigezo:1.Umri usipungue 20 tu..sitaki mtoto mie! 2.Elimu haijalishi...maadam kutype JF anaweza sihitaji cheti! 3.Sura..umbo sijali! 4.Kigezo muhimu awe mcheshi..mwenye furaha ..na good sense of humour ili tuondoane mastress ya nyuma ya pc!Nawakilisha....!

Umeharibu hapo kwenye RED!
Lakini hata hivyo CHEMBE NA CHEMBE MKATE HUWA....Fungulia PMbox yako mapema ...utachoka nao.!

eeehhh, Lizzy's New year resolution wajameni.

PJ, huenda kwenye nyekundu anamaanisha hata nje ya PC labda waendelee kujuana ki JF na kuitana majina ya ki-JF bila kutafutana undani zaidi.
 
Kila siku watu wanazidi kutafuta wenzi humu!Wengine wanataka kuoa kabisa...wengine kuondoa upweke..sasa na mimi natafuta wangu leo wapendwa!Natafuta mkaka awe mpenzi wangu wa JF..yani mambo yote yanaishia humu humu!Vigezo:1.Umri usipungue 20 tu..sitaki mtoto mie! 2.Elimu haijalishi...maadam kutype JF anaweza sihitaji cheti! 3.Sura..umbo sijali! 4.Kigezo muhimu awe mcheshi..mwenye furaha ..na good sense of humour ili tuondoane mastress ya nyuma ya pc!Nawakilisha....!


hilo suala la kuishia humu humu ndo limenishinda!
 
eeehhh, Lizzy's New year resolution wajameni.

PJ, huenda kwenye nyekundu anamaanisha hata nje ya PC labda waendelee kujuana ki JF na kuitana majina ya ki-JF bila kutafutana undani zaidi.


Haswaaa....yani mambo yaende ki-Great Thinker!!!
 
Kila siku watu wanazidi kutafuta wenzi humu!Wengine wanataka kuoa kabisa...wengine kuondoa upweke..sasa na mimi natafuta wangu leo wapendwa!Natafuta mkaka awe mpenzi wangu wa JF..yani mambo yote yanaishia humu humu!Vigezo:1.Umri usipungue 20 tu..sitaki mtoto mie! 2.Elimu haijalishi...maadam kutype JF anaweza sihitaji cheti! 3.Sura..umbo sijali! 4.Kigezo muhimu awe mcheshi..mwenye furaha ..na good sense of humour ili tuondoane mastress ya nyuma ya pc!Nawakilisha....!

.................Lizzy bana, mbona unakuwa hivyo...nimekuomba msamaha kuwa sitarudia, lakini bado hutaki....nipe adhabu kuliko kuja JF kutaka mtu wa kukupunguzia stress....Sorry my Lizzy.............Baba Mkubwa
 
.................Lizzy bana, mbona unakuwa hivyo...nimekuomba msamaha kuwa sitarudia, lakini bado hutaki....nipe adhabu kuliko kuja JF kutaka mtu wa kukupunguzia stress....Sorry my Lizzy.............Baba Mkubwa

BM we ulitaka niendelee kusononeka tu????Tatizo lako huwezi kubadilika...kila siku ahadi tu!!!!
 
Nakubeba mgongoni??au unamaanisha nini??maana sioni kazi ukuje mumy lizzy.
Kua na mimi???Si ulisema tuliohama nyumbani sio wife material??Au unataka kupita tu????:embarrassed:
 
Back
Top Bottom