nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
mimi nadhani alioa wife material, a woman who can rise his watoto kwa namna nzuri (awe umbo zuru au baya ila alitaki mke mwema)
By this time anawazia apate cherokee wakubamba,wa kumridhisha sexually just for some periods.(wanaume wengi wana hii kasumba kwa sasa)
umeshaniumbuaMertina rekebisha hapo
Lizzy mpaka kuja kuuliza hapa tayari inaonyesha haieshimu iyo ndoa na ana mawazo mawili kuhusu mkewe anayeheshimu jibu lingekuwa hapana na kumsahau angeshasahau.
mimi nadhani alioa wife material, a woman who can rise his watoto kwa namna nzuri (awe umbo zuru au baya ila alitaki mke mwema)
By this time anawazia apate cherokee wakubamba,wa kumridhisha sexually just for some periods.(wanaume wengi wana hii kasumba kwa sasa)
to be honest wanadai inakuwa vigumu kumpata wa hivyo.Hii ndo inaitwa tamaa mbaya....huku atake mke wa kuzaa tu na kulea kule atake binti wa kumpa maraha!!Siangetafuta anaefit pande zote???Mijanaume mingine bwana.....HOVYOOOOOO!
Jamani wana JF ninaomba msaada wenu,
Kuna binti mmoja nilikuwa namdate tukiwa shule tena O level me nikiwa IV yeye II nilipomaliza tu shule mawasiliano yalikata, imepita miaka 16 toka tulioonana na kuwasiliana mara ya mwisho.
Juzi kwenye sherehe za Mei mosi nilienda morogoro nikakutana naye na tuaongea sana, yeye alizalishwa mtoto miaka nane iliyopita lakini hajaolewa. Mimi nimeona na ninafamilia yangu ila kuna chembe ndogo ambazo bado ninamfeel, anataka tuwe wapenzi, nimeongea nae sana na kuhusu mazingira yanayotuzunguka lakini kang'ang'ania anasema eti mimi ndo wake wa maisha na yuko tayari kuwa back up, Je ndugu zangu mnanishauri vp kuhusu hili suala?
Ogopa mdada anayeng'ang'ania kuwa back-up kama ukoma................ ukilianzisha tu, familia yako ipo matatani.
Hii dhana ya kusema nimeoa wife material mwenye uwezo wa kulea watoto na nje natafuta kiburudisho naona ni ujinga tu. Je wakati unaburudika ukijikuta unazaa who's going to raise that unwanted kid? Wife material au kiburudisho?
to be honest wanadai inakuwa vigumu kumpata wa hivyo.
Akiwa charokee/wakubamba wanadai ni kufuga ugonjwa wa moyo in case utamweka ndani.Pia mke mwenye watoto ni mzee mpaka emotionally hata kama ana miaka 20
Dear FP,
BUT::::Our Greatest Glory is not in Never Falling But in Rising Every time WE FALL!!!!
Dear FP,
BUT::::Our Greatest Glory is not in Never Falling But in Rising Every time WE FALL!!!!
mbona hawawajuzi hao wife materials kuwa wewe ni wa kutunza nyumba tu? au kama vipi si ukishamaliza mpango wa kuzaa wangekuwa wanaacha hao wife materials na kuprovide everything kwa ajili ya watoto nao wakahamia kwa hivyo VIBURUDISHO?
kuna ambaye hataki kuburudishwa freely (bila kubanwabanwa na hao wife materials)?
Kweli duniani kuna watu na viatu. Hapa waweza kuta mtoa mada ni my husband I real feel sick. Maana wengi hapa tunatumia fake IDs. Yaani wanandoa inabidi tusali sana. Nimewaza sana kuhusu hili. Hubby anaaga naenda Moro Darling, unanyoosha nguo zake unapanga kwenye sanduku na kumkumbusha asisahau perfume yake nzuri. Kumbe huko Moro ana Kiburudisho. Mimi ndio maana nasema I am spying on my hubby and will keep on doing that for the sake of him, myself and our children. Yaani tufe na ukimwi hivi hivi na kuhacha watoto yatima. Abiria chunga mzigo wako. Alafu wanaume wanakuwa wakali hawapendi kupelelezwa wakati wenyewe mnaona leo, you guys are soooo weak and easy to seduce.