Mpenzi wa Zamani anaisumbua kichwa yangu!

Mpenzi wa Zamani anaisumbua kichwa yangu!

Kweli duniani kuna watu na viatu. Hapa waweza kuta mtoa mada ni my husband I real feel sick. Maana wengi hapa tunatumia fake IDs. Yaani wanandoa inabidi tusali sana. Nimewaza sana kuhusu hili. Hubby anaaga naenda Moro Darling, unanyoosha nguo zake unapanga kwenye sanduku na kumkumbusha asisahau perfume yake nzuri. Kumbe huko Moro ana Kiburudisho. Mimi ndio maana nasema I am spying on my hubby and will keep on doing that for the sake of him, myself and our children. Yaani tufe na ukimwi hivi hivi na kuhacha watoto yatima. Abiria chunga mzigo wako. Alafu wanaume wanakuwa wakali hawapendi kupelelezwa wakati wenyewe mnaona leo, you guys are soooo weak and easy to seduce.
natamani kulia hizi hisia mhhhhhhh .
 
Hata mimi limenitokea hivi karibuni kuna dada mmoja alikuwa kipenzi changu tukatengana baada ya mm kuwa masomoni nje ya nchi! Sasa nimerudi ajabu yele dada alishaolewa na anawatoto, ktk hali ya kushangaza tumekuwa wapenzi na anasema yupo tayari kumwacha mumewe! Imeniuma sana nilipoiona hii tread nahisi ni mke wa huyu jamaa! Tafadhari naomba uni pm ilituyaweke sawa kama ni yy!!
 
Hata mimi limenitokea hivi karibuni kuna dada mmoja alikuwa kipenzi changu tukatengana baada ya mm kuwa masomoni nje ya nchi! Sasa nimerudi ajabu yele dada alishaolewa na anawatoto, ktk hali ya kushangaza tumekuwa wapenzi na anasema yupo tayari kumwacha mumewe! Imeniuma sana nilipoiona hii tread nahisi ni mke wa huyu jamaa! Tafadhari naomba uni pm ilituyaweke sawa kama ni yy!!

Loh!!!
Kama anavyosema atamwache mumewe kwaajili yako ndivyo ambavyo atakuja kukuucha kwenye mataa kwaajili ya mwingine!!Kila la kheri kwenye kumwibia mwanaume mwenzako mke!!!
 
Ninachojua mimi uhawara haufi kabisa na hasa kama mliachana ktk mazingira ya amani,Ushauri mzuri mliompa baba David sijui kama ataufanyia kazi shetani ana nguvu bana!!!!!
Hapo kwenye red ndo panamatatizo, Baba David hebu tuondolee umalaya wako Humu tuna kazi nyingi sana za msingi.
 
Jamani nashukuru sana kwa ushauri wenu na matusi yenu, kwa kweli nimegundua Ujinga wangu na ninatubu EE MUNGU NISAMEHE KWA UPUMBAVU WANGU! naomba mjadala uishie hapo tafadhali!
 
Nina jihamini sana tu kuwa napendwa. Swala si kurudi, ni kama atarudi akiwa salama au HIV positive. Kungekuwa hakuna magonjwa hata ulale nje wiki I will still be your loving wife. Wazazi wetu walivumilia kwa kuwa hakukuwa na maradhi. yani wewe ukitembeze tu eti kisa bado wanipenda mimi nivumilie kwa kuwa utarudi. Are you sure of the health status ya hao unaozini nao.

hapo unataka kujipa ugonjwa wa moyo tu,
mtu mzima hachungwi mama!!!!!
N a siku zote nishasema na narudia tena kusema,
NANI ALIKWAMBIA KUWA MWANAUME ANAPOSEX NJE,
BASI NDO MAPENZI KAYAHAMISHIA KWA HUYO KIMADA?

JAMANI MAPENZI NA KUJALI SI KUNGONOKA TU,
NYUMBA KUBWA WALA USIJIPE PRESSURE,
MZEE ATARUDI TU KWAKO AKITOKA HUKO MOROGORO,
KWANI WEWE NDO MKEWE WA KUFA NA KUZIKANA NA NDIO KIPENZI CHAKE,
BTW: HIZO NYINGINE NI FANTASY TU,

SORRY!!!!!!!!!!
 
Hii sheria ilitungwa lini na kupitishwa na nani au sisi ndo tunaupa nafasi ushetani wetu.Mie hata kama tuliachana vizuri nikikutana na weye kama nilishasema biashara iliisha imeisha kuanza kulana maukoko yaliyokwisha ili iweje na kwanini utoe hiyo nafasi ndo cha msingi na wakati una familia yako:evil:


The naked truth is:

Kama ex-g/b mliachana "kwa amani" - no matter muda gani umepita - chances za ku-redo ni kubwa sana kama mtajiweka kwenye "nafasi" hiyo. Mtoa mada amesema "waliongea sana" huko Morogoro, so what do you expect out of "kuongea sana"... The very best thing to do, kama hutaki ku-redo ni ku-avoid "mawasiliano" na ex-g/b..basi.
 
Hii sheria ilitungwa lini na kupitishwa na nani au sisi ndo tunaupa nafasi ushetani wetu.Mie hata kama tuliachana vizuri nikikutana na weye kama nilishasema biashara iliisha imeisha kuanza kulana maukoko yaliyokwisha ili iweje na kwanini utoe hiyo nafasi ndo cha msingi na wakati una familia yako:evil:

Kama ulisema biashara imeisha maana yake hamja achana kwa amani!

kwa kutumia scenario ya mtoa mada - Wamefahamiana form IV/II, Baba David amemaliza FormIV anaendelea V-VI sehemu nyingine ya nchi au dunia all the way mpaka University or whatever - Na binti anaendelea na masomo sehemu nyingine ya dunia, na anapata mahusiano mengine mpaka anazalishwa.. So, kilichowatanganisha hawa ni "kutafuta maisha" siyo kwamba biashara imeisha! Miaka 16 na sita baadaye wanakutana ana-kwa-ana na "kuongea sana" - then boom - binti anasema the mission was not over!

Kimsingi kama Baba David naye roho yake itaridhia - Naweza kukuhakikishia kuwa wataanza tena upya mahusiano yao! Otherwise tumuachie mtoa mada afanye maamuzi sahihi according to himself

Weekend Njema bandugu
 
thread kama hii nikichangia kwa lugha ya kuonya ntakosea?.........ndio maana mimi wengine huwa nawachana live....wewe tayari una familia...yeye kazalishwa....miaka 16 imepita tangu muachane...leo unasema bado una mfeel na hapo hapo unasema yeye anasema wewe ndo wake.........huu ni uhsenzi wa hali ya juu...tena wewe ni mpuuzi sana na huko moro yawezekana ulitembea nae.........

vichaa ndo watabaki katika dunia hii nao ndo watatoa ushuhuda........mambo ya ajabu kweli
 
Jamani wana JF ninaomba msaada wenu,
Kuna binti mmoja nilikuwa namdate tukiwa shule tena O level me nikiwa IV yeye II nilipomaliza tu shule mawasiliano yalikata, imepita miaka 16 toka tulioonana na kuwasiliana mara ya mwisho.
Juzi kwenye sherehe za Mei mosi nilienda morogoro nikakutana naye na tuaongea sana, yeye alizalishwa mtoto miaka nane iliyopita lakini hajaolewa. Mimi nimeona na ninafamilia yangu ila kuna chembe ndogo ambazo bado ninamfeel, anataka tuwe wapenzi, nimeongea nae sana na kuhusu mazingira yanayotuzunguka lakini kang'ang'ania anasema eti mimi ndo wake wa maisha na yuko tayari kuwa back up, Je ndugu zangu mnanishauri vp kuhusu hili suala?
fikiria mara 2 mkuu, unaichinjia ndoa yako baharini ujue!?
 
:clap2::clap2::clap2:
thread kama hii nikichangia kwa lugha ya kuonya ntakosea?.........ndio maana mimi wengine huwa nawachana live....wewe tayari una familia...yeye kazalishwa....miaka 16 imepita tangu muachane...leo unasema bado una mfeel na hapo hapo unasema yeye anasema wewe ndo wake.........huu ni uhsenzi wa hali ya juu...tena wewe ni mpuuzi sana na huko moro yawezekana ulitembea nae.........

vichaa ndo watabaki katika dunia hii nao ndo watatoa ushuhuda........mambo ya ajabu kweli
 
plz, nakushauri achana nae kabsa. jaribu kufikiria familia yako na mazingira. je, angekua huyo ndo mke wako anataka kufanya hivi unavyotaka kufanya wewe utafanyaje/ ungejisikiaje? na mazingira mtakayakua yatakuwaje? ukishajiingiza huko ni rahisi sana kuja kusahau familia yako na huyo mwanamke si m2 mzuri kabisa coz hajali wengine ila anajijali yeye 2. achana nae kabsa na endelea ku live ur life.
 
Acheni Unafiki! Watu wanafanya ngono sana na ma ex wao kwa kwenda mbele!
 
Hata kama wengi wanafanya haituzuii kukemea!
Mwenzako amekuwa na busara kuomba ushauri. Tunajua sana wako wengi na meseji imewafikia wakitaka wameze, wakitaka wateme. Watakumbuka JF wakiwa wanahara kitandani!

Acheni Unafiki! Watu wanafanya ngono sana na ma ex wao kwa kwenda mbele!
 
Rafiki, muongeze tu awe mkeo wa pili uwe nae free zaidi!
 
Na ile ya kutaka mthungu huku una mmasai inaitwaje


Da! umenikuna sana unaonesha ni jinsi gani upo makini,,,,,,,,
AMEONA KIBANZI KWENYE JICHO LA MWENZIE.......lol
BW Hongera kwa umakini ulionao,,,,
 
Back
Top Bottom