Maganga Mkweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 2,089
- 829
natamani kulia hizi hisia mhhhhhhh .Kweli duniani kuna watu na viatu. Hapa waweza kuta mtoa mada ni my husband I real feel sick. Maana wengi hapa tunatumia fake IDs. Yaani wanandoa inabidi tusali sana. Nimewaza sana kuhusu hili. Hubby anaaga naenda Moro Darling, unanyoosha nguo zake unapanga kwenye sanduku na kumkumbusha asisahau perfume yake nzuri. Kumbe huko Moro ana Kiburudisho. Mimi ndio maana nasema I am spying on my hubby and will keep on doing that for the sake of him, myself and our children. Yaani tufe na ukimwi hivi hivi na kuhacha watoto yatima. Abiria chunga mzigo wako. Alafu wanaume wanakuwa wakali hawapendi kupelelezwa wakati wenyewe mnaona leo, you guys are soooo weak and easy to seduce.