Mpenzi wa zamani wa P. Diddy, Kim Porter afariki dunia

Maskini daaaah![emoji22] [emoji22]....KP alimpenda diddy kiukweli, wengine wanamchuna tu!


Acha tu, halafu hata status yake haikuwa cha mtoto. Ni zile level za wakina Kimora, Nicole. Sema ndo hivyo, too bad she didn't get the right guy to settle with.
 


Eti sio fungu lake...lol.
Halafu baada ya ndoa ya pili kuvunjika alisemaga ndoa basi, na akaja ku fall kwa Olivier. Lakini ndoa haikufanikiwa tena..

Bey ni southern girl yule, atakuwa na strong beliefs na ties katika family.
Yaani hakati tamaa na ndoa wala mwanaume. Imagine labda angekuwa mwingine, Jay angeshamwagwa kitambo na kuwa replaced na mwingine.
 
Hivoo? Southern girls wavumilivu eeeh?....Bey konyoo jamani!

Nasikia jigga mwingi kweli, na akilewa anahadithia jinsi demu alivyofosi ndoa!

Sasa anajifanyaga kumzimia Riri hivi wangewezana kweli?
 
..Nasikia jigga mwingi kweli, na akilewa anahadithia jinsi demu alivyofosi ndoa!

Sasa anajifanyaga kumzimia Riri hivi wangewezana kweli?


Mh!, bad girl Riri na Jay?!!
Naona kama wangeishia njiani! 😀
Huwezi jua lakini.

Riri juzi kaweka pose fulani zito Insta kutangaza lebel yake, Chris Brown aka like na compliment juu. Sasa acha team Riri wamjie juu Chris...lol
Wengine wanamwambia "leave Riri alone"..
Kuna walomwita Chris psycho, kuna wanaomwambia Riri ampe Chris block.
Basi ni mtafaruki tu! 😀

Pose lililomshinda Chris Uzalendo...

 
Hlf ni cousin hawa
 
Bro.
Elvis Presley umeona wapi sasa hivi aseeh?
Mbona alifariki mwaka 1977
Sasa huko ulikomwona kakongoroka ni wapi tujutane.
Mtu amefariki miaka 44 iliyopita
 
Bro.
Elvis Presley umeona wapi sasa hivi aseeh?
Mbona alifariki mwaka 1977
Sasa huko ulikomwona kakongoroka ni wapi tujutane.
Mtu amefariki miaka 44 iliyopita
Uwe unasoma unaelewa, anamwongelea mjane wa Elvis Presley
 
[emoji848][emoji848][emoji848] ubuyu wa Ubeparini.Jf idumu
 
Msiba upo wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…