Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,467
- 13,026
chakula cha nyoka yupi, wa kwenye mashimo ardhini au nyoka wa ndani ya suruali?
Nyie watu! 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chakula cha nyoka yupi, wa kwenye mashimo ardhini au nyoka wa ndani ya suruali?
Sasa kule kucheka cheka yuko high mda wote!.... Yule itakuwa stress, maana Diddy malaya kuoa haoi anatotolesha tu mmama wa watu anaona anajizeekea tu home! Watoto wanaishi na babaake yy anaishi alone daah!Yeah, she always smiled jamani.
Mitandaoni wanadai hapa mwisho mwisho alionekana kuwa na Stress.
Lakini kamvumilia sana P. diddy huyu mwanamke aseh!
Eeeh jamani asante mkuu[emoji120] [emoji120]nilitegemea ushukuru
Mmmmh...usichana alikuwa kisu daaah!
73 kama sikosei nimeangalia youtube ila wanawake wa zamani walikuwa wazuri check hata picha za madada wa bongo 1970sLisa amekuwa mtu mzima sana!
Wee huyo mbibi anakula visu kama buchani!...sema asingeunderwent knife angekuwa mzuri sana!Ni kweli. Huyu dada sidhani kama alifanya plastic surgery. Ana genes nzuri sana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ....mawazo yake huyo hahaaNyie watu! 😀
Huyo ni mamaake Lisa Presley wa Wacko Jacko, anaitwa Priscilla Presley!Lisa amekuwa mtu mzima sana!
Kiukweli mkuu....wanawake zamani walikuwa visu sana, wa sasa hivi sijui ni nini?73 kama sikosei nimeangalia youtube ila wanawake wa zamani walikuwa wazuri check hata picha za madada wa bongo 1970s
barikiwa sanaEeeh jamani asante mkuu[emoji120] [emoji120]
Sasa kule kucheka cheka yuko high mda wote!.... Yule itakuwa stress, maana Diddy malaya kuoa haoi anatotolesha tu mmama wa watu anaona anajizeekea tu home! Watoto wanaishi na babaake yy anaishi alone daah!
Hivi hakuwa hata na house girl? Mbona eti wamekuta nyumba tupu, yy kafa tu kitandani?
73 kama sikosei nimeangalia youtube ila wanawake wa zamani walikuwa wazuri check hata picha za madada wa bongo 1970s
Kweli eti angesettle tu na Kim, naamini Kim alimpenda Diddy kwa mapenzi yote!Yaani P. Diddy mwisho aseh.
Bad boy for life haswa!
Halafu couple yao na Kim ilipendeza kweli. Na wale watoto, such a beautiful family. Ungedhani ange settle na Kim lakini waala.
Lakini kama J.Lo alimshindwa, sijui nani wa kumtuliza wallah.
Hapo pa kufa mwenyewe home panaleta utata. Kuna mahala wanasema Police wanaangalia kama kuna signs za foul play.
Lakini sijui kwa nini aliishi mwenyewe?!
Huyo ni mamaake Lisa Presley wa Wacko Jacko, anaitwa Priscilla Presley!
Lisa ana 50 bado kisu balaa, japo age imesonga
Sanaaa....na mi nilijua tu kuwa umemfananisha![emoji23] [emoji23]Okay!, wanafanana sana basi!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ....mawazo yake huyo hahaa
Bongo ukiwa na hela unakuwa mneneUkiwa na hela..huyu kama mdada mwenye umri.wa miaka 33 kumbe ana umri wa 47