Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 16,039
- 7,465
Ukirudi home mnunulie Enock kitabu cha Maths kama zawadi, tena cha additional Maths kabisa.Nitamnunulia BOX zima akae nalo - kwa maana anajali
halaf, kakague kule juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukirudi home mnunulie Enock kitabu cha Maths kama zawadi, tena cha additional Maths kabisa.Nitamnunulia BOX zima akae nalo - kwa maana anajali
wow!nitaendelea kula tunda, haina makombo(haluwa).
hehehehehe....mh, mwenzangu mi nitavaa nguo zangu na kutimua, siwezi nina wivu sana!
tobaaaaa...Nitamuuliza kwanza na hadi anipe majibu ya kueleweka lasivyo huduma itasitishwa kwa muda loh!
no, hii inaweza kuwa kwa pande zote 2Pape kumbe unazungumzia aliye-cheat ni mwanamke! maana kama aliye-cheat ni mkaka, mdada itaendaje doro?
kweli mkuu!Mh wadau njaa yote itaisha, sitakula huo msosi tena kitu lazima kinywee hapo
mmmmmh, big brother! really?Pape... kuna wakati nikisoma posts zako namkumbuka member mmoja humu ndani, yuko very controversial
what? 8?Anajali huyo bana!.....tulia tu mwambie ndom naona zimeisha.
Then kesho yake unakuja na box, halafu unatumia nane usiku huo!!
Kula kwanza zigo,kisha baada mwambie THIS WAS MY LAST NANIHII with u.
Coz i was longing kufanya na wewe kavu kavu kwenye maisha ya ndoa lakini naona condoms zinazidi kupungua tu humu ndani.
Sasa let me leave othrs kuendelea
Kisa cha kuidhulumu nafsi yako? Si mnatumia kinga? cheza salama ukishamaliza ndo unauliza habari ikoje. Akikuletea zisizoeleweka unachapa lapa ilhali nafsi imeridhika ebo!
sema weyeee yakhe!Kwanza una uhakika gani kama kweli siku ya mwisho uliziacha zikiwa intakti kwenye pakiti? Je kama mliziwa na utamu mkaitumia na hiyo moja ila tu wewe umesahau?
Mambo mengine bwana presha za bure tu, yaani unaweza hata kukikimbia kivuli chako mwenyewe kisa unahisi ni kibaka anakunyemelea kukupora mkoba wako! Ukijiamini haya maisha ni rahisi sana!
lol, I wish I could....ameitumia kwa nani hiyo 1?
Ukirudi home mnunulie Enock kitabu cha Maths kama zawadi, tena cha additional Maths kabisa.
halaf, kakague kule juu
I agree kwenye red......lakini kama vile unatutusi wenginewacha kumshuku mpenzi wako maybe kuna rafiki aliomba moja ama ndugu yake akaiba.🙄
Sidhani kama anaiba atakuwa careless kiasi cha kukuachia evidence wewe.WOMEN ARE VERY BRIGHT😀