Mpenzi wako akifanya kama hivi utamuuliza? Utaanzaje kumuuliza?

Mpenzi wako akifanya kama hivi utamuuliza? Utaanzaje kumuuliza?

Kisa cha kuidhulumu nafsi yako? Si mnatumia kinga? cheza salama ukishamaliza ndo unauliza habari ikoje. Akikuletea zisizoeleweka unachapa lapa ilhali nafsi imeridhika ebo!

aa wapi MJ1 hizi fiksi kabisaaaaaaa😀
 
-Lakini utamu wenyewe utapungua hata kama game itaendelea,ila baada ya game hapo tutongea lugha na kupata solution itakayomridhisha kila mtu,baada ya hapo kila mtu atalala mbele
 
Swali lina Mtego hilo....Hivi una njaa na chakula unaiona hapo mezani si utakula kwanza ushibe baadae ndo unaanza kuhoji maswali😀

Hahaha sina uhakika sana cause nahisi hamu yote ya kuendelea na zoezi itapotea

Hamu huwa hainishii jamaani mie nisaidieni!!! natamani kufikiria kama Firstlady lakini hicho kipengele nilicho highlight ndo kinanipa kigugumizi!!
Yaani hamu iniishe kabisa kwa kitu ile na ninaiona na imekuja mezani yenyewe,tafadhali jamaani!!!!
 
Ukishakuwa sensitive na wivuu hapo hakitaeleweka kitu....ni ugomviiii mwanzo mwishooo weeee kumegewaa kunauma sana...hata kama ni girl friend tuu...maana ukute mnakula wa 2 hujui
 
swali liko personal,kila mtu anaamua kulingana na hali itakavyojitokeza
 
Back
Top Bottom