Mpenzi wako alikwambia au alifanya nini ukasema kimoyomoyo huyu hawezi kuwa mke/mume wangu

Mpenzi wako alikwambia au alifanya nini ukasema kimoyomoyo huyu hawezi kuwa mke/mume wangu

Bidada flani hivi,,,, alikuwa miongoni mwa ninaowapigia hesabu ya kuwaoa,,,, ! Japo ni mtu alikuwa ana penda penda vihela ilihali ameajiriwa ,,,, ! Siku wakapata msiba nadhani wa mama mdogo kama sijakosea,,,, ! As a man nikampa nauli aende wilaya nyingine kuzika,,,, ! Kesho yake sms inaingia beb huku nimekuta ndg wote wameoganaiz tunavaa madela sare, naomba hela ninunue ni mm tu nimebaki ! Dah alinidisaapoint sana, nikasema hii familia ya kiswahili hapa hakuna mke,,,, ! Nikaanza kumuacha kidogo kidogo hatimae akaelewa somo
 
Habari za weekend!

Kuna baadhi ya maneno watu wetu wa karibu wakiongea huwa yanatuumiza sana, sometimes inapelekea kupoteza interest ya kujenga maisha na huyo mtu.

Kuna mwanamke flani nilikuwa naye kwenye mahusiano takribani miaka 2, kuna siku bhana akaniuliza "hivi baby hata nikiolewa na mtu mwingine si tutakuwa tunakutana kisirisiri tunafanya mambo yetu?"

Kwa harakaharaka nikamjibu nikamjibu "ndio", ila ile kitu haikukaa vizuri kichwani mwangu, nilimwona kama mtu mwenye roho ya usaliti, kama anaweza kumfanyia mume wake hivyo si anaweza hata kunifanyia mimi.

Siku nyingine huyohuyo mwanamke akanambia maneno haya "Mimi sijali kuhusu matatizo yako, wewe ni mwanaume, wewe ndio inabidi ujali kuhusu matatizo yangu", baada ya hapo nikiwa simchukulii serious kabisa, wala sikutegemea mahusiano yetu yafike stage za kuoana.

Mwingine bhana alikuwa akiniomba hela afanye biashara, kuna siku alinieleza vizuri kabisa kuhusu hio biashara nikaipenda, nikamuahidi ntampa hela aanze, ilikuwa ni 1.5M.

Hio hela nilimpa kama baada ya wiki moja hivi, siku zilizofata nikawa nafatilia maendeleo yake na amefikia wapi, akawa tu ananiambia anasubiri vibali na issue zingine, mimi ilifika kipindi nikapotezea, kuna siku sasa mama ake akanipigia, ndio akaniambia kila kitu, ile hela bhana aliitumia kununua nguo, viatu, vipodozi, kabati la nguo na vikorokoro vingine,

Halafu ukizingatia sio mtu ambaye alikuwa hana nguo au anavaa vibaya, lahasha, hii kitu ilinifanya nipoteze interest kabisa na huyu mwanamke, nikawa namuona sio wife material kabisa, nilivoongea nae akasema sijui mambo hayakukaa sawa sijui kuna hela alizulumiwa, sababu kibao alitoa, nilimshangaa sana, hadi leo nikikumbuka nabaki nacheka tu.
Kuna rafiki yangu anabadilisha wadada hatari nimemsema mno lkn hasikii but majibu yake yanamanaa,anasema Mimi msichana akiniomba tu hela tunaanchana hapohapo napenda nimpe bilakuniambia akianza tu story hizo nampa kisogo
 
Poleni wote kwa maswahibu mliyokutana nayo kwenye kipindi chenu cha Uchumba na mahusiano Kwa ujumla.

Ni vyema mmefanya hayo maamuzi mapema kuliko kuchelewa

Kuna msemo wa kiswahili unasema "dalili ya mvua, mawingu"

Better late than never....
 
Tupo kwenywe uchumba zaidi ya mwaka mmoja na kila siku tunapanga mipango.. Kuna siku aliniuliza hivi baby una mpango gani namimi!?
Nikamuuliza kwamba wewe ndio special sana au kwanini uskilize una mpango gani na mahusiano yetu..akanuna ni nikamblock nikatafute bebe mwingine mtaani yeye amebaki kuomba msamaha kila siku

Una jini kisirani
 
Back
Top Bottom