Mpenzi wako alikwambia au alifanya nini ukasema kimoyomoyo huyu hawezi kuwa mke/mume wangu

Mpenzi wako alikwambia au alifanya nini ukasema kimoyomoyo huyu hawezi kuwa mke/mume wangu

1st, alikuwa anapenda sana starehe na tulikutana club nikataka mbadilisha nikashindwa siku nampiga chini (bila yeye kufahamu) aliniomba twende viwanja usiku nikamwambia sijiskii kutoka akasema basi nimruhusu aende na marafiki zake alafu atarudi na kweli nikamruhusu akaenda akarudi saa 10 alfajiri. Nikasema huyu nitakuwa napiga mpaka nikimchoka nampiga chini uzuri wake ni janga.

2nd, nilimpenda mno ila tatizo uchafu yani hakuna kitu nachukia kwa mtu kama uchafu. Huyu demu ni amesimama hatari alafu wa kishua mno ila ananuka kwapa na hataki mambo ya deodorant wala perfume. Nilimnunulia perfume ya laki 3 akaenda kugawa anasema hapendi perfume na ata akioga bado ananuka jasho kali yani kuna muda anakuwa na nywele za kwapa zimechachamaa ni nyekundu alafu hajali wala nini so nikampiga chini ila mpaka leo hajui shida nini mimi nilimpa sababu za uongo na kweli.
3rd, umalaya nilikuja kumjua baadae sana kuwa ni malaya wa level kubwa baada ya kunipa nyuma na nikambana alianzaje akanipa full mkanda yani ni mzoefu kumbe siku zote namgusagusa tu mpaka agongwe nyuma ndio anarizika. Baada ya hapo nikawa namdanganya nimesafiri nimepata msiba mpaka leo akajiongeza tu nimeachwa.
4th, huyu alikuwa single maza nilitaka kujilipua ila vitu viwili vilinikatisha tamaa moja tukigombana anampost status mtoto wake ananipiga vijembe kupitia mtoto wake nikaona in the future huyu mtoto atakuwa ndio silaha ya kunimaliza pili ni kama nilizinduka usingizi why naoa mtu mwenye mtoto kwa nn nisianze afresh yan nakosa nn mpaka nikabebe mizigo ya watu
Kua na demu Mchafu ni mtihani sana
 
Je tuliotizamwa tukaonekana hatuna vigezo tunacoment wapi😢😢

Anyway... Mimi nilimwambia naacha kazi naenda kusoma madras kidogo, maana bint alionesha dalili za dini sana,,,,, nikasema wacha nichekeche nione yaliyomo. Nikamwambia rizk analeta Mungu tunaweza tusiwe matajiri ila tutakula Kama ndege wa angani bila kupanda🤣🤣... Yani nikampa yale maneno ya kiostadh na mashekh!!

Masaa mawili baadae nikaanza kublue tikiwa, mwisho wakaniblock!!!

Nilidhan kanamaadil ya Mungu kumbe n kajambaz ndani ya ushungi🏃🏃
 
Kuna mwanamke bhana ni mke wa mtu ila waliachana so akawa single maza. Nikaja kutana nae tukaanzq mahusiano nikawa nampa hela ndogo ndogo ef 30,50 zangu kazila nyingi tu. Kuna kipindi hadi nikampa 100k alipo nililia kuhusu shida yake flani. Ajabu ni kwamba nilipo Sogea karibu naye ambapo ndio ilikuwa mda mzuri ata wa kusuuza rungu kwa mara ya kwanza (wkt tunakutana nilikuwa mkoani) matukio yakaanza sasa.

Tukio la kwanza akaniambia J naomba tuachane naona siko sawa kuna mambo yananichanganya. Nikamuuliza mambo gani hayo na mbona gafla hivo majibu yakawa hayaeleweki ila akasimamia msimamo wake tu kuwa nimuache hayuko sawa kwa sasa na kwamba pindi akiwa sawa atanitafuta yeye mwenyewe 😂😂

Baada ya kuchunguza nikagundua kumbe amerudiana na mtu wake bhana dah niliumia sanaa... Sasa ikabidi nimchane ukweli kwa kumwandikia msg maana cm zangu alikuwa hapokei tena. Sasa baada ya kuisoma ile msg ndio akaanza kupokea cm zangu tena na hapo sasa ikabidi anichane live bila chenga kwamba kama niko tayari kushea na mtu wake basi fine ila kama sipo tayari nipite kushoto 😂😂 NB:- kumbuka hapo hata mzigo sijaonja ndugu msomaji na plan ilikuwa kumuweka ndani kabisa la haulaaa....

Itaendelea...
 
Kuna ile mwanamke anakuja kwenye maisha yako kwa kufosi mwsho wa siku unaamua kukaa nae gheto anakuwa mke,unashangaa siku umepinda labda unajisemesha kwake unamwambia nina magumu hata sjui nitafanyaje lakin ajabu anakujibu kuwa " kwani ulilazimishwa kuoa,mwanaume pambana" sasa unawaza kuwa keshasahau kuwa alikuja kwenye maisha yako kwa kung'ang'ania
Unamkumbusha jinsi alivyongangana kuolewa ili siku nyingine aache kuropoka ujinga
 
Bidada flani hivi,,,, alikuwa miongoni mwa ninaowapigia hesabu ya kuwaoa,,,, ! Japo ni mtu alikuwa ana penda penda vihela ilihali ameajiriwa ,,,, ! Siku wakapata msiba nadhani wa mama mdogo kama sijakosea,,,, ! As a man nikampa nauli aende wilaya nyingine kuzika,,,, ! Kesho yake sms inaingia beb huku nimekuta ndg wote wameoganaiz tunavaa madela sare, naomba hela ninunue ni mm tu nimebaki ! Dah alinidisaapoint sana, nikasema hii familia ya kiswahili hapa hakuna mke,,,, ! Nikaanza kumuacha kidogo kidogo hatimae akaelewa somo
Wanawake wanapenda sana mionekano hata sehemu ambazo hazistahili hiyo mionekano
 
Kuna mwanamke bhana ni mke wa mtu ila waliachana so akawa single maza. Nikaja kutana nae tukaanzq mahusiano nikawa nampa hela ndogo ndogo ef 30,50 zangu kazila nyingi tu. Kuna kipindi hadi nikampa 100k alipo nililia kuhusu shida yake flani. Ajabu ni kwamba nilipo Sogea karibu naye ambapo ndio ilikuwa mda mzuri ata wa kusuuza rungu kwa mara ya kwanza (wkt tunakutana nilikuwa mkoani) matukio yakaanza sasa.

Tukio la kwanza akaniambia J naomba tuachane naona siko sawa kuna mambo yananichanganya. Nikamuuliza mambo gani hayo na mbona gafla hivo majibu yakawa hayaeleweki ila akasimamia msimamo wake tu kuwa nimuache hayuko sawa kwa sasa na kwamba pindi akiwa sawa atanitafuta yeye mwenyewe [emoji23][emoji23]

Baada ya kuchunguza nikagundua kumbe amerudiana na mtu wake bhana dah niliumia sanaa... Sasa ikabidi nimchane ukweli kwa kumwandikia msg maana cm zangu alikuwa hapokei tena. Sasa baada ya kuisoma ile msg ndio akaanza kupokea cm zangu tena na hapo sasa ikabidi anichane live bila chenga kwamba kama niko tayari kushea na mtu wake basi fine ila kama sipo tayari nipite kushoto [emoji23][emoji23] NB:- kumbuka hapo hata mzigo sijaonja ndugu msomaji na plan ilikuwa kumuweka ndani kabisa la haulaaa....

Itaendelea...
dah! Kama haukula mzigo inauma kinoma, Mi siwezi kutoa pesa zote hizo kabla sijila mzigo
 
Bidada flani hivi,,,, alikuwa miongoni mwa ninaowapigia hesabu ya kuwaoa,,,, ! Japo ni mtu alikuwa ana penda penda vihela ilihali ameajiriwa ,,,, ! Siku wakapata msiba nadhani wa mama mdogo kama sijakosea,,,, ! As a man nikampa nauli aende wilaya nyingine kuzika,,,, ! Kesho yake sms inaingia beb huku nimekuta ndg wote wameoganaiz tunavaa madela sare, naomba hela ninunue ni mm tu nimebaki ! Dah alinidisaapoint sana, nikasema hii familia ya kiswahili hapa hakuna mke,,,, ! Nikaanza kumuacha kidogo kidogo hatimae akaelewa somo
Wadada wa hivi wananishangazaga kweli, unakuta mdada ameajiriwa, mshahara mnalingana, ila mizinga anayokupiga utafikiri ni jobless, imagine na kwa tabia hizo anategemea kuolewa na wewe wewe anaekupiga mizinga na unakuta kiumri anakaribia 3rd floor au yupo 3rd floor, kimuonekano ni mzuri, shape anayo ila hana mahusiano ya kueleweka.

Sometimes kudate na mdada ambae hana kazi kabisa is cheaper, mwanaume unajua kabisa, my girlfriend hana chanzo cha kipato, umhudumie uwezavyo, kuliko hawa wadada walioajiriwa. kitalembwa binti kiziwi princess ariana happyxxx scolastika
 
Wadada wa hivi wananishangazaga kweli, unakuta mdada ameajiriwa, mshahara mnalingana, ila mizinga anayokupiga utafikiri ni jobless, imagine na kwa tabia hizo anategemea kuolewa na wewe wewe anaekupiga mizinga na unakuta kiumri anakaribia 3rd floor au yupo 3rd floor, kimuonekano ni mzuri, shape anayo ila hana mahusiano ya kueleweka.

Sometimes kudate na mdada ambae hana kazi kabisa is cheaper, mwanaume unajua kabisa, my girlfriend hana chanzo cha kipato, umhudumie uwezavyo, kuliko hawa wadada walioajiriwa. kitalembwa binti kiziwi princess ariana happyxxx scolastika
Ndio maana we don’t date same age, co-workers na wanaofanana na hao.

Nini kinafanya dada jobless adeserve kupewa hela na dada mwenye kazi asipewe 15k ya kijora????
 
Nini kinafanya dada jobless adeserve kupewa hela na dada mwenye kazi asipewe 15k ya kijora????
Umeuliza swali zuri:

Mimi ninavoona "kuwa supportive" ndo kunafanya mdada jobless a deserve kupewa hela, na mwenye kazi asipewe hela.

Kuna wadada hawana kazi wala tsh 100 mbovu ila wako supportive kwa boyfriends wao kuliko wadada walioajiriwa, bahati mbaya wadada ambao wako supportive mara nyingi wanakutanaga na wanaume wa hovyo, yani mdada hakupi tsh 100 ila kuna vitu anafanya unasema I've someone in my life, anakupa moyo, anakushauri, anakupikia mara moja moja, anakwambia my man let's do this, ukifanya hivi, mimi nitapambana hivi, tununue sofa tuliweke gheto. Unajikuta mwanaume unainuka kiuchumi unanunua na kuwekeza kwenye vitu vya maendeleo ambavyo ungekua single usingevifanya, ungeishia kutapanya hela.

Mdada mwingine una date nae ana mshahara mzuri, ila ndo anazidi kukufanya utapanye hela, mdada atatumia mshahara wake kujenga kwao, atasomesha ndugu zake, atakuacha wewe mwanaume upambane mwenyewe kumhudumia yeye, kujenga, kubuni wazo la biashara etc

Wadada walioajiriwa wa hivyo hata kukununulia na kukupa biskuti ya tsh 500 anaona uchungu rohoni (naongea hivi sio kwamba naongeza chumvi, ila ni uhalisia wa kitu nlichokwishawahi kukiona) ukimuomba kwa kumtega, hata akikupa, unaona kabisa huyu ananipa hiki kitu kwa shingo upande.

Sasa wewe ungekua mwanaume kati ya hao wawili ungempa hela yupi binti kiziwi
 
Habari za weekend!

Kuna baadhi ya maneno watu wetu wa karibu wakiongea huwa yanatuumiza sana, sometimes inapelekea kupoteza interest ya kujenga maisha na huyo mtu.

Kuna mwanamke flani nilikuwa naye kwenye mahusiano takribani miaka 2, kuna siku bhana akaniuliza "hivi baby hata nikiolewa na mtu mwingine si tutakuwa tunakutana kisirisiri tunafanya mambo yetu?"

Kwa harakaharaka nikamjibu nikamjibu "ndio", ila ile kitu haikukaa vizuri kichwani mwangu, nilimwona kama mtu mwenye roho ya usaliti, kama anaweza kumfanyia mume wake hivyo si anaweza hata kunifanyia mimi.

Siku nyingine huyohuyo mwanamke akanambia maneno haya "Mimi sijali kuhusu matatizo yako, wewe ni mwanaume, wewe ndio inabidi ujali kuhusu matatizo yangu", baada ya hapo nikiwa simchukulii serious kabisa, wala sikutegemea mahusiano yetu yafike stage za kuoana.

Mwingine bhana alikuwa akiniomba hela afanye biashara, kuna siku alinieleza vizuri kabisa kuhusu hio biashara nikaipenda, nikamuahidi ntampa hela aanze, ilikuwa ni 1.5M.

Hio hela nilimpa kama baada ya wiki moja hivi, siku zilizofata nikawa nafatilia maendeleo yake na amefikia wapi, akawa tu ananiambia anasubiri vibali na issue zingine, mimi ilifika kipindi nikapotezea, kuna siku sasa mama ake akanipigia, ndio akaniambia kila kitu, ile hela bhana aliitumia kununua nguo, viatu, vipodozi, kabati la nguo na vikorokoro vingine,

Halafu ukizingatia sio mtu ambaye alikuwa hana nguo au anavaa vibaya, lahasha, hii kitu ilinifanya nipoteze interest kabisa na huyu mwanamke, nikawa namuona sio wife material kabisa, nilivoongea nae akasema sijui mambo hayakukaa sawa sijui kuna hela alizulumiwa, sababu kibao alitoa, nilimshangaa sana, hadi leo nikikumbuka nabaki nacheka tu.
"Hata ikitokea tumeachana siwez kumwambia mtu kuwa unavuta bangi"
 
Back
Top Bottom