MPENZI wako alishawahi kulala usingizi wakati mna-do?

Me nadhani mwanaume Hana maajabu
Angekuwa anajua G spot ya mwanamke ilipo nisingeleta huu Uzi
Shida NI wanaume WA skuhizi wametahiriwa hospital, wanakuja kupanda wanawake kama farasi
Sasa Nani anahemuka
Huyo nguchiro umempost hapo juu ana MAAJABU gan sa mbona kanyooka kama rula
 
Mwanamke hajui hata kuigiza kwa sound kama ya nyau wa Mwananyamala kisiwani, hahaaa mjuba lazima asinzie katikati ya mnyanduano
Why should she fake it
Mwanaume mbovu hajui maumbile ya mwanamke unamsusia akupande tu
 
 
hii dunia unaweza dhani umesikia mengi kumbe............
Nipo na shosti hapa analalamika kuwa
Wakati Wana do na mpenzi wake, mpenzi wake akalala kifuani kwake mpaka akamuamsha

Sasa ananiuliza shida NI nini?! Mpaka mwanaume analala na haujawahi kutokea

Eti unamsaidiaje shosti wangu??
Kosa la huyo mwanaume ni lipi ? Kulala?

Kila mtu ashinde mechi zake.


By the way huyo jamaa anamtumia huyo mwanamke kama chombo cha starehe, ndio maana akajumlisha starehe mbili kwa wakati mmoja. (tendo na usingizi).

Narudia tena
Kila mtu ashinde mechi zake.

Shoga ako hana maajabu ya kupata ushindi.
 
Huyo mwanaume ana MAAJABU gan ya kumfanya shogangu adate nae
Hata G spot ya mwanamke huenda wewe na yeye hamjui inapokaa
 
Wanawake NI viumbe rahisi sana
We ukitaka mechi Anza kumuandaa kuanzia asubuhi
Utafurahi mwenyewe
Angalizo
Lazima ujue G spot yake iko wap
Wanaume ndo Hua wanajituma ila kama mwanamke haelewi hata stimu hua zinakata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…