Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me nadhani mwanaume Hana maajabuVitu vingine haina haja kumtafuta mchawi, ipo hivi shosti wako hana maajabu.
Tako hana, sura ndio ile imeandikwa 'viewers may find offensive or inappropriate'.
Swagga hana na pia hata utundu hana, nawajua vijana wangu hawana mchezo kwenye pisi kali. Hakuna mwanaume analala kizembe kama pisi imenyooka.
Mjadala uishie hapa.
Pisi kama hii unaanzaje kusinzia, usiwasingizie wahuni wangi hawana hizo tabia...
![]()
Kwanini mwanaume asimguse G spot yake aone kama hataamka basiAnalala kama gogo halafu anategemea nini? 😎
NimefanyajeNdio
Mwanaume Hana ujuzi anaboaCase closed😁😁😁
Why should she fake itMwanamke hajui hata kuigiza kwa sound kama ya nyau wa Mwananyamala kisiwani, hahaaa mjuba lazima asinzie katikati ya mnyanduano
Waliotahiriwa hospital ndio hawaKabisa.
Anampaje wakati hajamgusa G spot yakeBasi kama hata kulia hawezi.
Ampe ile staili Ya Tunaanza usiku.
Aone kama atasinzia
AiseeNani mtoa mada ama
Me nikiwa dume we utakuwa sho.u.g.e.rNdio
NarudiaDume mwenzenu huyo
yuko safarini kuRIP mzingoni huyoHuu mbona ni mtihani mzito.
Mwambie rafiki yako anyumbulike .
Mkipelekana mputempute nani ataanza kusinzia
Sound inatokaje wakati jamaa hajagusa G spot? We nawe ndio mnaofekishiwa sauti lakinwabovu kitandani
/QUOTE]Kumbe hoja hapa ni G spot?
Ulipaswa uweke title ya G spot kuguswa ama kutoguswa kwa uzi wako.
Mambo ya kufekishiwa sauti ni bora zaidi kuliko ububu eti unasubiri kuguswa G spot ndo utoe sauti.
Shost ako ni gogo dadeki.
hii dunia unaweza dhani umesikia mengi kumbe............
Kosa la huyo mwanaume ni lipi ? Kulala?Nipo na shosti hapa analalamika kuwa
Wakati Wana do na mpenzi wake, mpenzi wake akalala kifuani kwake mpaka akamuamsha
Sasa ananiuliza shida NI nini?! Mpaka mwanaume analala na haujawahi kutokea
Eti unamsaidiaje shosti wangu??
Sawa mwachiluMe nikiwa dume we utakuwa sho.u.g.e.r
Huyo mwanaume ana MAAJABU gan ya kumfanya shogangu adate naeKosa la huyo mwanaume ni lipi ? Kulala?
Kila mtu ashinde mechi zake.
By the way huyo jamaa anamtumia huyo mwanamke kama chombo cha starehe, ndio maana akajumlisha starehe mbili kwa wakati mmoja. (tendo na usingizi).
Narudia tena
Kila mtu ashinde mechi zake.
Shoga ako hana maajabu ya kupata ushindi.
Kwanini mwanaume asjiitume piaLabda mwanamke hajitumi
Wanaume ndo Hua wanajituma ila kama mwanamke haelewi hata stimu hua zinakataKwanini mwanaume asjiitume pia
Wanaume ndo Hua wanajituma ila kama mwanamke haelewi hata stimu hua zinakata