Mpenzi wako anapobadilika na kupunguza hamasa za kimapenzi ni nini cha kufanya ili kumrudisha kama zamani?

Mpenzi wako anapobadilika na kupunguza hamasa za kimapenzi ni nini cha kufanya ili kumrudisha kama zamani?

Mboka man

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2020
Posts
478
Reaction score
1,647
Kuna tabia ambazo tuseme ukianza kuziona kwa mtoto wa kike ambae ni mpenzi wako kama ilivyokuwa zamani unajua hapa kuna kitu hakipo katika penzi lenu kama zifuato.

Hakutafuti usipomtafuta, unapoanzisha mawasiliano na yeye anaonekana hajisikii kuzungumza na wewe.

Unapomueleza hisia zako wala hakuonyeshi kujali, muda mwingi anakuwa na hasira ya vitu vidogo vidogo.

Kuna time akitulia ukitaka kujua shida ni nini anakwambia hayupo sawa ukitaka kujua shida nini hakwambii na hayupo tiyali kulizungumzia hiloo.

Kipindi cha nyuma alikuwa anakuita majina ya kimahaba kama vile bby love, darling, babe ili kunogesha penzi lenu sasa hivi anakuita Baba flani, au Athumani.

Je ni nini cha kufanya ili kumrejesha awe kama zamani maana hizi ni dalili penzi lenu linaelekea sio pazuri au ni kitu gani cha msingi cha kufanya.

1629365665196.png

 
Kwanza hapo jua imani yake kwako imeshuuka sana na possibly anaweza kuwa ametambua kuwa unatoka nje ya ndoa kama umeoa hii hutokea direct kwa kupelekewa file lako na mtu anaye muamini.

Suluhisho kaa chini jitathmin majibu unayo wewe lazima kuna sehem umezingua.
 
Alikuwa na matarajio makubwa mno kutoka kwako lakini baada ya kuwa na wewe amegundua hayatekelezeki hivyo yale aliyoyatarajia hawezi kuyapata kwa kadri ya vile alivyotarajia yeye.

Wengi wa wanawake huingia mkenge kwenye hatua hii kwa kudhani kwamba akiwa na mwingine atapata hayo anayodhani kwamba kwako hayawezekani matokeo yake huwa wanaharibu na hujutia baada ya kugundua hata kule alipodhani hali itakuwa tofauti mambo ni yale yale.

Mwishowe huwa mioyo yao inapigwa ganzi na kufikia hatua ya liwalo na liwe, wakati huo huwa wameshachelewa kwahiyo hujipa matumaini kwa kuamua kwamba liwalo na liwe.

Life is marathon not a sprint = maisha ni kama mbio ndefu sio mbio fupi za mita mia moja. Tuwe na kiasi na subra
 
Hebu jichunguze yawezekana kuna vitu umefanya vikam-disappoint.
Ikiwa ni kweli,basi badilika na anza kumpelekea zawadi mara kwa mara taratiibu atakueleza vitu vingi vinavyomfanya awe hivyo.
Baada ya hapo mtakaa sawa na penzi lenu litanoga kama mwanzo.
Wanawake wanapenda yafuatayo.
1.Kudekezwa
2.Zawadi
Hata akasirike vipi,wewe mpelekee zawadi na kumdekeza ugomvi unaisha na mbunye unapewa.
 
Kuna tabia ambazo tuseme ukianza kuziona kwa mtoto wa kike ambae ni mpenzi wako kama ilivyokuwa zamani unajua hapa kuna kitu hakipo katika penzi lenu kama zifuato.
Angekuwa ni mke ningekushauri nini cha kufanya ila kwa mpenzi sina cha kukushauri...
 
[emoji28]hapo cha kufanya ni kuanza kumspoil kwa zawadi na mambo mengine kibao
Mwanamke akipoteza upendo ndio unamspoil nani kasema? Mwanamke akipoteza interest hata ufanye vituko kama Mr.Bean kuliona tabasamu lake itakuwa shughuli sababu hisia zipo mtaa wa pili!
 
Hebu jichunguze yawezekana kuna vitu umefanya vikam-disappoint.
Ikiwa ni kweli,basi badilika na anza kumpelekea zawadi mara kwa mara taratiibu atakueleza vitu vingi vinavyomfanya awe hivyo.
Baada ya hapo mtakaa sawa na penzi lenu litanoga kama mwanzo.
Wanawake wanapenda yafuatayo.
1.Kudekezwa
2.Zawadi
Hata akasirike vipi,wewe mpelekee zawadi na kumdekeza ugomvi unaisha na mbunye unapewa.
Kuna wengine hisia zikiisha hamna kitu utafanya! Hao wa hivyo ni wale wanaonuna to kawaida kwenye moods😄 ila akiwa kashaanza kupigwa bakora nchi jirani inakula kwako mazima
 
Tafuta mwingine uku ukipunguza mawasiliano naye penzi likikolea unafuta namba kabisa ivikipi kinashindikana kwenye mapenzi.
 
Kuna tabia ambazo tuseme ukianza kuziona kwa mtoto wa kike ambae ni mpenzi wako kama ilivyokuwa zamani unajua hapa kuna kitu hakipo katika penzi lenu kama zifuato.

Anza kumfekenyua goti.....
Mpe jambo jipya ....
 
Back
Top Bottom