Washangaa sana mpenz akusaliti alafu upigane kiasi gani we ni zoba mpaka unampigania msaliti 😠😠Hapo mwanamke anajenga defense mapeema...!!ni kama draft yan...unatoa kete 1 ili ule 2...!!ukiona amekuambia mmoja basi kuna wa4 hakuambii...!!kuna mwana alitaka kupigana kisa dem tukamchana kabsaaa...aache uzumbukuku
Na kama sio girlfriend wako ni rafiki tu wa kawaida ila lazima akwambie wanaomtongoza ?Ni lugha ya kukwambia uzidishe upendo kwake, because ukizubaa wengine wanammendea huko nje. It seems uko mbali kihisia na mtu wako.
MrejeshoJuzi kaniambia mwanasheria wa kampuni yao anamtongoza akanitumia na screenshot ya meseji na hio sio mara ya kwanza kuniambia nadhani ni ya nne wahusika wakiwa tofauti tofauti
Sasa najiuliza hiv huyu dem ananambia hivi ili iweje??anataka nikampge huyo anaemtongoza?au ananitambia tu ili kutishana tishana
Je akitongozwa na crush wake ataniambia?
Hivi viumbe vina mambo mengi
Shtuka mwamba. Muda sio mrefu utapigwa na kitu kizito.
Ukiona mwanamke anakuletea wewe stori za kuwapa mashosti zake ujue kuna kitu kinaandaliwa.