Mpenzi wako anapokwambia "flani ananitongoza" anakua anamaanisha nini?

Mpenzi wako anapokwambia "flani ananitongoza" anakua anamaanisha nini?

Hapo mwanamke anajenga defense mapeema...!!ni kama draft yan...unatoa kete 1 ili ule 2...!!ukiona amekuambia mmoja basi kuna wa4 hakuambii...!!kuna mwana alitaka kupigana kisa dem tukamchana kabsaaa...aache uzumbukuku
Washangaa sana mpenz akusaliti alafu upigane kiasi gani we ni zoba mpaka unampigania msaliti 😠😠
 
Jikite kwenye mambo ya msingi,,, achana na vitu vidogo hvo
 
Shtuka mwamba. Muda sio mrefu utapigwa na kitu kizito.

Ukiona mwanamke anakuletea wewe stori za kuwapa mashosti zake ujue kuna kitu kinaandaliwa.
 
Juzi kaniambia mwanasheria wa kampuni yao anamtongoza akanitumia na screenshot ya meseji na hio sio mara ya kwanza kuniambia nadhani ni ya nne wahusika wakiwa tofauti tofauti

Sasa najiuliza hiv huyu dem ananambia hivi ili iweje??anataka nikampge huyo anaemtongoza?au ananitambia tu ili kutishana tishana

Je akitongozwa na crush wake ataniambia?

Hivi viumbe vina mambo mengi

Mrejesho
 
Kaliwa huyo jiongeze, hapo anakuonyesha tu kuna ngedere wengi wanataka kumpukuchua.
Sasa we ukae mkao wa "Nyuma geuka"
 
Back
Top Bottom