Raj kapool
JF-Expert Member
- Jun 29, 2018
- 1,352
- 2,160
Kila penzi litaonja umauti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida inakuwa ni wote hamna akili zà mahusiano. Subirini mkue.Jamani wadau, naomba mnisaidie kitu. nina manzi wangu kimahusiano, ila kila akinipigia simu napata hasira, tunalumbana lumbana sana lawama kwa sana
Shida inakuwa nini....?
ana bahati sinakiboko, ningemcharaza mpaka akili yake ikae mahali pakeMa mkwe mbona mkali ivyo 😂😂
ikiwa yeye anayevurugwa hajui shida iko wapi sisi mashabiki tutafahamu vipi kama sio kutuonea?Onesha love kwa kijana wetu.Hana baya.Ni harakati za mahaba tu.
Jamani wadau, naomba mnisaidie kitu. nina manzi wangu kimahusiano, ila kila akinipigia simu napata hasira, tunalumbana lumbana sana lawama kwa sana
Shida inakuwa nini....?
Siku nikimcht mwanao si utaniua wwana bahati sinakiboko, ningemcharaza mpaka akili yake ikae mahali pake
itategemea utamchit na mwanamke aliyemzidi kitu ganiSiku nikimcht mwanao si utaniua ww
Pesa mfanoitategemea utamchit na mwanamke aliyemzidi kitu gani
Mapenzi yameisha,,, hukumpenda bali ulimtamani..Jamani wadau, naomba mnisaidie kitu. nina manzi wangu kimahusiano, ila kila akinipigia simu napata hasira, tunalumbana lumbana sana lawama kwa sana
Shida inakuwa nini...
hapo naongea na mwanangu kiutaratibu na wewe nakusihi uwe na heshima tuPesa mfano
Ahahah ma mkwe we mzungu sanahapo naongea na mwanangu kiutaratibu na wewe nakusihi uwe na heshima tu
huenda kuna jini kisirani kati yenu 🐒Jamani wadau, naomba mnisaidie kitu. nina manzi wangu kimahusiano, ila kila akinipigia simu napata hasira, tunalumbana lumbana sana lawama kwa sana
Shida inakuwa nini....?
Hakuna jambo tena hapo, mkiendelea kuforce ataumia mtu au kupoteza uhai.Jamani wadau, naomba mnisaidie kitu. nina manzi wangu kimahusiano, ila kila akinipigia simu napata hasira, tunalumbana lumbana sana lawama kwa sana
Shida inakuwa nini....?